amilyroley
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 621
- 1,199
Shirika la habari la Marekani la Voice Of America VOA kupitia kipindi chake cha Straight Talk to Africa limesema Mgombea wa UKAWA ndugu Edward Lowassa atashinda uchaguzi mkuu Tanzania kupitia tafiti zao za kitaalamu walizozifanya. Walikuwa katika kipindi cha saa moja ya uchambuzi wa uchaguzi wa Tanzania