Acha kelele kimbiji ni mbali mno.....
Kariakoo napofanya kazi ili nifike inabidi niamke saa tisa kutokea huko.......Kimbiji ni mbali kutokea wapi mkuu
Duh so Buyuni ni mbali kuliko kimbijiBaadhi ya wateja wamekuwa wakihisi labda kimbiji ni mbali ndio maana tunauza bei nafuu viwanja vya kigamboni kimbiji ambavyo vimepimwa na baadhi ya wateja tayari wana hati miliki.
MAJIBU.
Kimbiji sio mbali kama baadhi ya wateja wanavyohisi.
Umbali wa kutoka kimbiji mpaka fery ni kilomita 30 umbali ambao ni sawa na kutoka posta mpaka mbweni au umbali wa kutoka posta mpaka bunju na huku ni mbali zaidi kuliko kimbiji.
Hivyo kimbiji ni sehemu nzuri inayokuwa kwa kasi sana. Pia ukiwa site unaiona bahari ya hindi. Umeme tayari umefika site. Na baadhi ya wateja tayari wameanza kujenga.
SIFA ZA MRADI.
Viwanja vimepimwa na vinauzwa milion 3 tu kwa sqm500 na malipo ni kidogo kidogo ndani ya miezi 6.
Kwa nini vinauzwa bei nafuu?
JIBU.
Bei elekezi ni Tsh 14,000 kwa sqm 1 hivyo kiwanja cha sqm 500 ilitakiwa kuuza milion 7 LAKINI SISI TUNAUZA MILION 3 tu ili kila mtu mwenye nia aweze kununua.
ANGALIZO.
Kwa bei hii hatutoi hati miliki ila utachangia Tsh 500,000 kwa ajili ya maandalizi ya hati ya kiwanja chako.
Kwa maelezo zaidi Dm au
Calls&whatsapp
0744336336
0672826826
Email:info@dalalimsomi.co.tz
Follow instagram: @dalalimsomitz
Follow twiter/@msomidalali
View attachment 1751932
View attachment 1751933
View attachment 1751934
View attachment 1751935
Duh so Buyuni ni mbali kuliko kimbiji