Scolari Ndenga
JF-Expert Member
- Aug 4, 2008
- 271
- 43
Mara kwa mara tumesikia watu wakikwapura viwanja vya wazi na kuvifanya chini ya himaya yao. Leo, 01.07.2011 Katika kikao cha Bunge, Mbunge wa Jimbo la Ubungo, Mhe. John Mnyika amehoji juu ya nini hatma ya ripoti ya Kamati ya Lukuvi ambayo mpaka sasa imefanywa kuwa siri. Majibu ya Waziri, Anna Tibaijuka alikwepesha kusema lini ripoti hiyo itawekwa hadharani.<br>
<br>
Kwanini lakini ripoti kama hiyo haipo hadharani? Mhe. Mnyika ameliambia bunge kwa mbinu zake yeye anayoripoti ambayo inaonyesha ukwapuraji wa viwanja na nani kaufanya.<br>
<br>
Pita pita yangu, nikuta makala inayozungumzia rushwa kuwa chanzo cha ukwapuraji wa viwanja vya wazi katika Mtandao wa ufatiliaji wa rushwa. Mtandao bila kuuma umma umeainisha viwanja vilivyoporwa, vilipo, nani kapora, na anakifanyia nini; <br>
<br>
Soma hapa makala nzima ujionee hamna ambavyo CCM inaongoza katika uporaji huo:<a href="http://www.corruptiontracker.or.tz/dev/index.php?option=com_content&view=article&id=171%3Acorruption-nemesis-eats-dars-open-spaces&catid=18%3Acurrent-issues-&Itemid=51&lang=br" target="_blank">Rushwa yatafuna viwanja vya wazi Dar</a>
<br>
Kwanini lakini ripoti kama hiyo haipo hadharani? Mhe. Mnyika ameliambia bunge kwa mbinu zake yeye anayoripoti ambayo inaonyesha ukwapuraji wa viwanja na nani kaufanya.<br>
<br>
Pita pita yangu, nikuta makala inayozungumzia rushwa kuwa chanzo cha ukwapuraji wa viwanja vya wazi katika Mtandao wa ufatiliaji wa rushwa. Mtandao bila kuuma umma umeainisha viwanja vilivyoporwa, vilipo, nani kapora, na anakifanyia nini; <br>
<br>
Soma hapa makala nzima ujionee hamna ambavyo CCM inaongoza katika uporaji huo:<a href="http://www.corruptiontracker.or.tz/dev/index.php?option=com_content&view=article&id=171%3Acorruption-nemesis-eats-dars-open-spaces&catid=18%3Acurrent-issues-&Itemid=51&lang=br" target="_blank">Rushwa yatafuna viwanja vya wazi Dar</a>