Viwanja vya kutulia baada ya Kazi ama Wikiendi

Jack HD

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
852
1,158
Habarini wadau,

Hebu tupeane maujanja ya viwanja vya kuburudika baada kazi ama wikiendi kama hizi. Nimekaa hapa kila kiwanja nahisi nimeshapita. Wazee wa Jiji la Makonda hebu tupeane maujuzi
 
Njoo huku TMK chipolopolo Pub kama huhitaji kelele na unapanga ma strategy ya kufa mtu. Completely cool Warning hakuna vimini wala tiles. Sauti ya Jogoo akiwika jirani ni kawaida... Niko hapa now asikiliza cool & gang kwa mbali na Hennesy
 
Back
Top Bottom