Panga la Yesu
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 234
- 20
ALELUYAH!
Habari za leo wana JF?
Katika pita pita yangu nimesikia fukuto la vijana wengi wakiwa na tamanio la kuhamia nje mwa viwanja vya ikulu ya Tanzania kwa lengo la kuwaunga mkono wasomi ambao wamemaliza migomo yao hivi karibuni na wengi kuishia kufukuzwa chuo.
Hii inatokana na watu wengi ambao wanasimamishwa kazi kutokana na mgao wa umeme, na wale ambao walikuwa na biashara ndogo ndogo lakini kutokana na gharama za maisha kuwa juu mambo yamekuwa tight na hawawezi tena kuendelea kusurvive ukijumlisha na wale wote wasio kuwa na kazi basi tunategemea kuwa na kusanyiko kubwa sana. Lakini pia nimesikia wafanyakazi wengi pia wanautayari wa kuwaunga mkono hii ni kumaanisha kuwa kutakuwa na kusanyiko kubwa sana.
Lakini pia pia wanataka Viongozi ambao wamekuwa na skendo basi wawajibike mara hii ikiwa ni pamoja na JK.
Sasa hapo ndo nikajiuliza hawa watu wana akili kweli? je ninani aliyeandaliwa kuchukua nafasi ikiwa JK ataondoka ghafla? Je amani ya Tanzania itabaki kama ilivyo? Au ndo Jeshi litachukua nchi? Mimi nikaonelea ni vema wakawa na subira kidogo walau iwe imendaliwa system itakayo chukua nafasi ili Taifa lisiyumbe. Lakini Serikali ya JK ijue tayari hili Jambo liko kwenye Pipe line hivyo wajitahidi kurekebisha mambo kwa haraka!
Ninalo lifahamu mimi sisiem mwisho ni 2015 hivyo ni vema tuwape nafasi ya kuaga!
Mungu awabariki!
Mungu Ibariki Tanzania!
Habari za leo wana JF?
Katika pita pita yangu nimesikia fukuto la vijana wengi wakiwa na tamanio la kuhamia nje mwa viwanja vya ikulu ya Tanzania kwa lengo la kuwaunga mkono wasomi ambao wamemaliza migomo yao hivi karibuni na wengi kuishia kufukuzwa chuo.
Hii inatokana na watu wengi ambao wanasimamishwa kazi kutokana na mgao wa umeme, na wale ambao walikuwa na biashara ndogo ndogo lakini kutokana na gharama za maisha kuwa juu mambo yamekuwa tight na hawawezi tena kuendelea kusurvive ukijumlisha na wale wote wasio kuwa na kazi basi tunategemea kuwa na kusanyiko kubwa sana. Lakini pia nimesikia wafanyakazi wengi pia wanautayari wa kuwaunga mkono hii ni kumaanisha kuwa kutakuwa na kusanyiko kubwa sana.
Lakini pia pia wanataka Viongozi ambao wamekuwa na skendo basi wawajibike mara hii ikiwa ni pamoja na JK.
Sasa hapo ndo nikajiuliza hawa watu wana akili kweli? je ninani aliyeandaliwa kuchukua nafasi ikiwa JK ataondoka ghafla? Je amani ya Tanzania itabaki kama ilivyo? Au ndo Jeshi litachukua nchi? Mimi nikaonelea ni vema wakawa na subira kidogo walau iwe imendaliwa system itakayo chukua nafasi ili Taifa lisiyumbe. Lakini Serikali ya JK ijue tayari hili Jambo liko kwenye Pipe line hivyo wajitahidi kurekebisha mambo kwa haraka!
Ninalo lifahamu mimi sisiem mwisho ni 2015 hivyo ni vema tuwape nafasi ya kuaga!
Mungu awabariki!
Mungu Ibariki Tanzania!