Viwanja viwili vinauzwa vipo Mbezi Lois na Kifuru

TBO

Senior Member
Jan 3, 2014
194
87
Habarini ndugu wana JF ,viwanja viwili vinauzwa vipo maeneo tofauti kimoja kipo mbezi lois na kingine kipo kifuru vyote vipo katika eneo ambalo gari linafika bila shida yeyote na ni tambalale (taratibu zote za kisheria zitafwatwa katika kukabiziana kiwanja)ni PM kama upo interested
 
Habari zenu waheshimiwa.... viwanja viwili vipo maeneo tofauti vinauzwa kwa bei ya kutupa ukilinganisha na ukubwa wake , kimoja kipo kifuru na kingine kipo mbezi lois vyote havipo mbali na barabara kwahiyo ni laisi kulifanya liwe eneo la biashara au makazi....kama una uhitaji ni PM tuzungumze
 
Habari zenu waheshimiwa.... viwanja viwili vipo maeneo tofauti vinauzwa kwa bei ya kutupa ukilinganisha na ukubwa wake , kimoja kipo kifuru na kingine kipo mbezi lois vyote havipo mbali na barabara kwahiyo ni laisi kulifanya liwe eneo la biashara au makazi....kama una uhitaji ni PM tuzungumze
Nimekutumia pm
 
Wazimaa jamani....viwanja viwili vinauzwa vipo maeneo tofauti , kimoja kipo mbezi lois na kingine kipo kifuru bei ni sawa na buree ukilinganisha na ukubwa wa eneo vyote vina barabara nzuri ya kufikika, taratibu zote za kisheria zitafwatwa katika kukabiziana viwanja ,kama upo interested ni PM
 
Ungeongeza nyama hizi
1. Ukubwa wa viwanja
2. Exactly location
3. Umbali toka barabara kuu
4. Vimepimwa
5. Maji yapo?
6. Umeme upo?
7. Picha kidogo

All in all weka bei za viwanja
Vyote vinapatikana muhimu kuja kushuudia kwa macho
 
Habarini wana JF najua umekuwa ukiwaza wapi uwekeze pesa yako ila jibu ni moja tu ambalo ni ardhi kwa sababu ardhi ni asset ambayo kamwe haiwezi ku-expire sasa usichelewe kuna viwanja viwili vinauzwa vipo maeneo mawili tofauti, kimoja kipo Mbezi Lois na kingine kipo Kifuru vyote vipo karibia na barabara ya lami na vina ukubwa wa kutosha.....

Fanya kuni-PM ili uje ujionee mwenyewe, (Taratibu zote za kisheria zitafuwatwa katika kukabiziana kiwanja)
 
Maliza kila jambo huku ukianza na ukubwa wa eneo,bei na picha achana na sanaa za pm
 
Habarini mabibi na mabwana...viwanja viwili vinauzwa ambavo vipo karibia na barabara ya lami kwa bei chee , kimoja kipo mbezi lois ukubwa ni 22×22 bei 9.m ,kingine kipo kifuru ukubwa ni 23×25 Kwa bei ya ya 8.m ,umeme na maji vyote vinapatikana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom