chofachogenda
Senior Member
- Oct 6, 2016
- 104
- 190
Pata viwanja kwa bei nafuu eneo la Kibaha madafu na mbezi mzalendo njia ya malamba.
Eneo lenye urefu wa 56 meter kwa 43 na mapana ya meter 19 umbali wa dakika 20 kwa miguu toka morogoro road. Kwa bei ya shilingi milioni mbili na laki tano tu . Vilevile Kuna eneo lingine hapo happy Lina urefu wa meter 20 kwa 20 kwa bei ya shilingi milioni moja na laki tano tu.
Kwa wanaohitaji viwanja eneo la mbezi mzalendo mbele ya malamba mawili kipo chenye ukubwa wa 18 kwa 20 kwa shilingi mil 3 , kingine kina ukubwa wa 20 kwa 20 milioni 4 na laki tano na kingine ni kumi kwa kumi kinauzwa milioni moja na laki tano.
Kwa mawasiliano zaidi piga 0716694624.
Eneo lenye urefu wa 56 meter kwa 43 na mapana ya meter 19 umbali wa dakika 20 kwa miguu toka morogoro road. Kwa bei ya shilingi milioni mbili na laki tano tu . Vilevile Kuna eneo lingine hapo happy Lina urefu wa meter 20 kwa 20 kwa bei ya shilingi milioni moja na laki tano tu.
Kwa wanaohitaji viwanja eneo la mbezi mzalendo mbele ya malamba mawili kipo chenye ukubwa wa 18 kwa 20 kwa shilingi mil 3 , kingine kina ukubwa wa 20 kwa 20 milioni 4 na laki tano na kingine ni kumi kwa kumi kinauzwa milioni moja na laki tano.
Kwa mawasiliano zaidi piga 0716694624.