GAGL
JF-Expert Member
- Aug 5, 2010
- 387
- 391
Ni bunju eneo vikawe unakata kona pale baobab sekondari umbali wa kama km2 kutoka barabara ya bagamoyo. Kuna heka nne na nusu kila heka moja ni sh 6000000/- zipo karibu na barabara. Viwanja: 40x20 sh 1000000 kipo karibu na barabara pia. Vingine vipo boko, unashuka chama, umbali wa kama km 2 kutoka b/moyo road upande wa kushoto kama unaelekea bagamoyo. 30x28 sh 5000000 na 20x20 sh 3000000. Competition kubwa, wahi piga 0786046484