Viwanja comfirmed

GAGL

JF-Expert Member
Aug 5, 2010
388
391
Nipo bunju vikawe ili kupata specification ya viwanja nilivoeleza asubuhi leo. Kuna viwanja vingi ila nilivyothibitisha ni hivi. 44x25 sh 1500000, 39x25 sh 800000, 39x21 sh 800000, 33x32 sh 1000000, 20x20 sh 400000 vipo vitatu. Umbali ni kama km 2 kutoka b/moyo road, barabara inapitika hadi kwenye kiwanja. Unakata kona ilipo shule ya sekondari baobab njia panda ya vikawe barabara ya kwenda kibaha. Competition ni kubwa sana. Na hizi ni bei za wanakijiji wenyewe.
 
Nipo bunju vikawe ili kupata specification ya viwanja nilivoeleza asubuhi leo. Kuna viwanja vingi ila nilivyothibitisha ni hivi. 44x25 sh 1500000, 39x25 sh 800000, 39x21 sh 800000, 33x32 sh 1000000, 20x20 sh 400000 vipo vitatu. Umbali ni kama km 2 kutoka b/moyo road, barabara inapitika hadi kwenye kiwanja. Unakata kona ilipo shule ya sekondari baobab njia panda ya vikawe barabara ya kwenda kibaha. Competition ni kubwa sana. Na hizi ni bei za wanakijiji wenyewe.

Namba yangu ya simu hii 0786 046484
 
Je vimepimwa? Au ndio kuingizana mkenge?

Kaka kama hata tabata hapakupimwa unategemea huku kuwe kumepimwa kwa kipindi hiki? Hili haliajipimwa kwa hiyo kama unataka kiwanja unasema, utapelekwa eneo husika, mauzo yatashuhudiwa na kiongozi wa serikali katika eneo husika, kama kubargain utafanya hivyo. Narudia tena competition kubwa. sana.
 
kaka GAGL mbona unatudanganya wana JF,tuna kupigia simu haupokei......Unavyotangaza kitu hapa kua na uhakika...hapa sio pa kubabaisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom