Kisemvule1
New Member
- Feb 1, 2018
- 2
- 0
Nauza viwanja eneo la Kisemvule, tunakata viwanjabkwa ukubwa unao taka, hakuna dalali.
Eneo lipo karibu na barabara kuu iendayo Kilwa, umeme upo karibu kabisa, maji yapo karibu, shile ya sekondary, Kanisa Katoliki na Hosptal kubwa ya Kanisa Katoliki, pia na chuo cha ualimu
Eneo unafika na gari mpaka kwenye kiwanja pia kuna route za dalala mpaka Kariakoo na Ferry kwa Tsh 700 tuu.
Bei ni maelewano kulingana na eneo unalo chagua na ukubwa.
Pia eneo linafaa kwa kiwanda ama ufugaji au godown
0715151977 Titus
Eneo lipo karibu na barabara kuu iendayo Kilwa, umeme upo karibu kabisa, maji yapo karibu, shile ya sekondary, Kanisa Katoliki na Hosptal kubwa ya Kanisa Katoliki, pia na chuo cha ualimu
Eneo unafika na gari mpaka kwenye kiwanja pia kuna route za dalala mpaka Kariakoo na Ferry kwa Tsh 700 tuu.
Bei ni maelewano kulingana na eneo unalo chagua na ukubwa.
Pia eneo linafaa kwa kiwanda ama ufugaji au godown
0715151977 Titus