Viwanja bila dalali

Kisemvule1

New Member
Feb 1, 2018
2
0
Nauza viwanja eneo la Kisemvule, tunakata viwanjabkwa ukubwa unao taka, hakuna dalali.
Eneo lipo karibu na barabara kuu iendayo Kilwa, umeme upo karibu kabisa, maji yapo karibu, shile ya sekondary, Kanisa Katoliki na Hosptal kubwa ya Kanisa Katoliki, pia na chuo cha ualimu
Eneo unafika na gari mpaka kwenye kiwanja pia kuna route za dalala mpaka Kariakoo na Ferry kwa Tsh 700 tuu.
Bei ni maelewano kulingana na eneo unalo chagua na ukubwa.
Pia eneo linafaa kwa kiwanda ama ufugaji au godown
0715151977 Titus
 

Attachments

  • images.jpg
    images.jpg
    23.2 KB · Views: 69
Hapana Siuzi kanisa hahahaha. Ninauza viwanja vya ukubwa kutokakana na matakwa ya mtu. Hata mtu akihitaji eneo lote kwa matumizi yake binafsi pia tunaweza kukaa chini na kuelewana.

Kikubwa ni kujua mazingira husika na kufika kwako kutakupa picha halisi ya nini unahitaji kulingana na matakwa yako.

Nimetoa maelezo hapo juu ili kuweka ufahamu kuwa upatikanaji wa huduma za jamii kama hospitali, shule, barabara na nyumba za kuabudu zipo karibu.

Ni sehemu nzuri. Kwa zaidi piga 0715151977 au 0769186942.

Asante.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom