VIWANJA 20m x 20m. Bei poa ya kutupa!!! Unapewa na Hati ya kumiliki

ok nitakuja kuhakikisha kwa niaba ya great thinkers wote weekend

Karibu sana Livanga kuna wanaJF ambao wameshafika au kutuma wawakilishi wao na tayari wamepimiwa viwanja, nawaomba wajimwage hapa ili kuondoa utata.

Asanteni, 'VIWANJA NA NYUMBA' 0718-617-522.
 
Last edited by a moderator:
By the way, kwa wale mlioko mbali mnaweza kulipia viwanja vyenu kupitia TIGO PESA 0718-617-522. Lipia na utume sms ya jina unalotaka liandikwe kwenye hati.

Karibuni, 'VIWANJA NA NYUMBA, 0718-617-522.

Kwa utaratibu huu natia shaka, kununua kiwanja ni shurti ukione jamani. Nitanunuaje kwa tigo pesa bila kuona kiwanja?? Huu ndiyo mwanzo wa utapeli, tutume fedha zetu halafu usepe, ulikoamkia wewe leo ndiko sisi tulikolalia jana!!! Wewe uwe mtulivu, tuje, tuone, tutafute ushahidi, turidhike ndipo tununue!!! Usitupelekeshe fasta, unataka kutuletea mambo ya Ekelege hapa?.
 
yaani njia hiyo hata bure sendi,,,hizo adhana za asubuhi usingizi na mapumziko hayo mwiko,,,,:spy:wengine tuna bp,,,,,hivi watoto wanasoma wapi,wanacheza na nani,,,,,,,,
 
Sasa wewe si dalali kabisa? Coz maelezo yako yanaonesha unapiga debe,sory kwa neno kali.iyo hati miliki naipata baada ya mda gani?
 
Sasa wewe si dalali kabisa? Coz maelezo yako yanaonesha unapiga debe,sory kwa neno kali.iyo hati miliki naipata baada ya mda gani?

La hasha, mimi si dalali kabisa! Hati miliki unaipata ndani ya siku 3 za wiki j'3-ijumaa.

Karibu tena, 'VIWANJA NA NYUMBA' 0718-617-522.
 
Viwanja na Nyumba;3811073]Viwanja vinauzwa 'direct' bila kuhusisha madalali, viko Vianzi, wilaya ya Mkuranga mwendo wa dakika 45 kwa gari toka Mbagala Rangi 3.

Vimekatwa mita 20 kwa mita 20 na vinauzwa tsh. laki tatu tu, kwa kila kiwanja. Bei imejumuisha malipo ya ushuru wa kijiji na ukishalipia Laki tatu unapewa Hati ya kumiliki kiwanja chako iliyosainiwa na Viongozi husika wa Kijiji cha Vianzi.

Vimebaki vichache sana, anayewahi kulipia cash ndiye atakayepata. Nipigie simu au sms: 0718-617-522.

Labda niwatoe wasi wasi wana JF hii issue ya viwanja ipo,na vinatoka kwa taasisi,kikundi au jumuiya na kitu kama hiki.

USHAHIDI..upo msikiti mmoja Sinza ambao ulitua nafasi kama hii kwa waumini wake kwa gharama ya 10,000 t.sh lakini baadae gharama ilibadilika na kuwa 100,000 T.sh lakini ni jambo ambalo lipo..na hivi viwanja hivi vipo kilometa 60 toka Dar...(ie:siwezi kusaidia kwa namna yeyote upatikanaji)

USHAURI:
Inawezekana hata wana JF tukajiunga pamoja nakufuatilia kitu hiki na wezekano ni kubwa la kupatikana viwanja kwa njia hii bila ya mtu wa kati.






 
Hop atarudi; kwani hakuna alovinjari anga hizo atupe mlisho nyuma hapa?

Mimi nilikwenda huko. Kwa kweli ni mbali. Maana kama utapanda daladala za kwenda vikindu utashuka somewhere na utapanda tena daladala lingine then utashuka somewhere. Then kutoka hapo hakuna tena daladala unasaga ngondi kwa takribani dkk 10 --15 hivi. Hayo ni maeneo nadhani kwa ajili ya kuanzia miaka 10 na ushee ijayo. Maono yangu tu
 
Mimi nilikwenda huko. Kwa kweli ni mbali. Maana kama utapanda daladala za kwenda vikindu utashuka somewhere na utapanda tena daladala lingine then utashuka somewhere. Then kutoka hapo hakuna tena daladala unasaga ngondi kwa takribani dkk 10 --15 hivi. Hayo ni maeneo nadhani kwa ajili ya kuanzia miaka 10 na ushee ijayo. Maono yangu tu

Duh kwahyo jamaa katuongopea ndo maana hatokei mtaa huu nini?
 
Jamani kunaviwanja vinauzwa vikindu nyuma ya Azam cola 5km kutoka Azam cola na ni 25km toka sokoni kariakoo bei ni Tshs 2000000 milioni mbili size ni hatua za mtu mzima 20 kwa 20 kwa atakae ani pm
 
Back
Top Bottom