VIWANJA 20m x 20m. Bei poa ya kutupa!!! Unapewa na Hati ya kumiliki

kwa hesabu za harakaharaka we ni mwizi kwani unapiga debe sana mpaka unawazidi nw wanasiasa uchwara wa bongo
Hata me nimeshtuka. Kijana anapiga debe hadi sauti inakauka. Najiuliza ni viwanja tu au kuna kingine. Na hii ya kutumia tigopesa pia imeniongezea hofu. Usikute baada ya 'mavuno' laini inatupwa.
 
thanks

hiyo laki tatu ni ta title au kiwanja na title??
na je title ninayopewa ni ya wizara ya ardhi au certificate ya ownership ya kijiji?
 
Huko wachawi sana, wilaya ya temeke inagundu wako wamatumbi na wandengereko kazi yao kubwa ni kuroga tu. Mi sikutaki hata kama ingekuwa bure.

MKuu sijakuelewa. Siamini kwenye GUNDU but hao wachawi uliwaona wapi na mbona Mkuranga haiko Temeke pia?
 
Mie nina kiwanja mitaa hiyo heka 1 jirani na vikindu mjini nauza milioni 3. Saabu ya kuuza natafuta ada ya chuo.
Hati ipo na ikiwezekana tuuziane mahakamani kwa usalama zaidi.

Narumba,
naomba tuzungumze kuhusu hiyo eka moja na ningependa kupaona
 
Tigo pesa hatuitaki ina risk sana kwa mfano ukikosea namba moja ikaenda kwa mtu mwingine ukiwapigia customer care hawapatikani hata ukiwapata wanakuambia ufuatilie mwenyewe, tuwekee no ya M-pesa yenye uhakika na jina la usajili wahiyo laini,nataka kutuma laki sita ndio nije hapo unikabidhi vyangu zangu viwili.

Kutuma pesa kwa M-PESA: 0757-992-333. Imesajiliwa kwa jina la 'CHEREKO' ambayo ni Kampuni tanzu ya 'VIWANJA NA NYUMBA' iliyosajiliwa rasmi na BRELA.

Karibuni, 'VIWANJA NA NYUMBA' 0718-617-522.
 
By the way, kwa wale mlioko mbali mnaweza kulipia viwanja vyenu kupitia TIGO PESA 0718-617-522. Lipia na utume sms ya jina unalotaka liandikwe kwenye hati.

Karibuni, 'VIWANJA NA NYUMBA, 0718-617-522.

Pia unaweza kulipa kwa M-PESA: 0757-992-333. Imesajiliwa kama 'CHEREKO' kampuni tanzu ya 'VIWANJA NA NYUMBA' iliyosajiliwa rasmi na BRELA.

Karibuni, 'VIWANJA NA NYUMBA' 0718-617-522.
 
20X20 ni size ndogo sana, acheni kuchafua miji kwa vinyumba vya kubanana wakati ardhi ipo ya kumwaga nchii.
 
thanks

hiyo laki tatu ni ta title au kiwanja na title??
na je title ninayopewa ni ya wizara ya ardhi au certificate ya ownership ya kijiji?

Laki tatu ni bei ya ofa kwa mtanzania wa kawaida, hivyo unapewa hati ya kijiji bure badala ya kulipia ushuru wa asilimia 15 kwa mujibu wa kanuni.

Karibu, 'VIWANJA NA NYUMBA' 0718-617-522.
 
Hata me nimeshtuka. Kijana anapiga debe hadi sauti inakauka. Najiuliza ni viwanja tu au kuna kingine. Na hii ya kutumia tigopesa pia imeniongezea hofu. Usikute baada ya 'mavuno' laini inatupwa.
Maamuma, GIBe100 hii ni biashara na inafuata misingi bora ya 'customer care' uadilifu na taarifa sahihi, hivyo msiwe na shaka. Watakaowahi kulipia ndio watakaouziwa, na vikiisha basi tunafunga hii 'thread'. By the way, vimebaki viwanja 16 tu.

Karibuni, 'VIWANJA NA NYUMBA' 0718-617-522.
 
Last edited by a moderator:
Mi napenda nifike mwenyewe ktk eneo la tukio angalau nipate hata kimoja baada ya kuona wengine ni akina Tomaso mpaka kuona ndio pesa inatolewa. Unaonaje kwa hilo?
 
Mi napenda nifike mwenyewe ktk eneo la tukio angalau nipate hata kimoja baada ya kuona wengine ni akina Tomaso mpaka kuona ndio pesa inatolewa. Unaonaje kwa hilo?

Unakaribishwa sana! Tuwasiliane kwa simu ili tukupokee pale Vianzi mjini na kukupeleka moja kwa moja 'saiti' ukachague plot yako.

'VIWANJA NA NYUMBA' 0718-617-522.
 
20X20 ni size ndogo sana, acheni kuchafua miji kwa vinyumba vya kubanana wakati ardhi ipo ya kumwaga nchii.
Mrembo viwanja vya 20mx20m 'high density' ni nafuu kwa watu wa vipato vya chini, kila mtu ana hamu ya kuishi kwenye nyumba yake ila uwezo unakuwa mdogo.

Karibu sana, 'VIWANJA NA NYUMBA' 0718-617-522.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nimekwenda Vikindu hapo anaposema mtoa mada na nilifanikiwa kuongea mpk na Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji Bw. Mwinykheri amesema hii issue ni uzushi na wala hawana taarifa yoyote kuhusiana na suala hili sasa jamani angalia msije ingizwa MKENGE mkanunua halafu mkaja kujutia. HAKUNA KITU HIKI KWA MUJIBU WA SERIKALI YA KIJIJI
 
Mimi nimekwenda Vikindu hapo anaposema mtoa mada na nilifanikiwa kuongea mpk na Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji Bw. Mwinykheri amesema hii issue ni uzushi na wala hawana taarifa yoyote kuhusiana na suala hili sasa jamani angalia msije ingizwa MKENGE mkanunua halafu mkaja kujutia. HAKUNA KITU HIKI KWA MUJIBU WA SERIKALI YA KIJIJI

Nashukuru kwa taarifa Komamanga plot ziko Kijiji cha Vianzi, kitongoji cha Chang'ombe, kata ya Vianzi, but wewe umeenda Vikindu, why?

Viwanja vinavyouzwa si mali ya kijiji ni vya mtu binafsi, kijiji kinatoa hati kwa mnunuzi baada ya kulipia ushuru wa 15% ya bei, i.e.300,000x15/100=tsh.45,000/- ila muuzaji katoa ofa, ukilipa laki tatu unapewa hati bure!! Tatizo liko wapi? Walau ugefika kwa mwenyekiti wa kitongoji cha Chang'ombe, Bw. Jongo ukamuuliza angekupa taarifa kamili.

Anyway, ndani ya wiki moja au mbili vitakuwa vimeisha, wenye kuhitaji mnakaribishwa.

Karibuni, 'VIWANJA NA NYUMBA' 0718-617-522.
 
Last edited by a moderator:
mwanzo ulianza kwa kusema kwamba dalali hausishwi ila kila unapozidi kuandika unaonekana ni dalali au tapeli.
Viwanja vinauzwa 'direct' bila kuhusisha madalali, viko Vianzi, wilaya ya Mkuranga mwendo wa dakika 45 kwa gari toka Mbagala Rangi 3.

Vimekatwa mita 20 kwa mita 20 na vinauzwa tsh. laki tatu tu, kwa kila kiwanja. Bei imejumuisha malipo ya ushuru wa kijiji na ukishalipia Laki tatu unapewa Hati ya kumiliki kiwanja chako iliyosainiwa na Viongozi husika wa Kijiji cha Vianzi.

Vimebaki vichache sana, anayewahi kulipia cash ndiye atakayepata. Nipigie simu au sms: 0718-617-522.

Jinsi ya kufika: pale Mbagala Rangi 3 panda basi la Vianzi Malela, shukia njia panda ya Manyani kuna barabara ndogo ya gari ifuate, mwendo wa robo saa kwa mguu utafika. Au ukishuka tu hapo Manyani, nipigie simu nikupe kijana wa kukuonyesha.

Karibuni sana, 'VIWANJA NA NYUMBA'. 0718-617-522.
 
km ngapi toka Dar?

45km kutoka Ikulu, 9km kutoka kwenye lami Vikindu, 2km baada ya kushuka kwenye daladala ya Vianzi/Malela kituo cha Njia Panda Manyani. Mwendo wa saa moja kwa gari binafsi toka Mbagala Rangi3.

Karibuni, 'VIWANJA NA NYUMBA' 0718-617-522.
 
mwanzo ulianza kwa kusema kwamba dalali hausishwi ila kila unapozidi kuandika unaonekana ni dalali au tapeli.
Livanga nimesema dalali hausishwi kwa sababu madalali wana tabia ya kuaongeza bei na kutoza ada ya kuonyesha viwanja. Hii ni 'direct sale' mteja analipa na kupewa hati bila kupitia mtu wa kati.

Karibuni, 'VIWANJA NA NYUMBA' 0718-617-522.
 
Last edited by a moderator:
Vimekaa karibu karibu na vipo square vzuri kiasi kwamba waeza kuviunga viwili ili eneo lilete maana?

Viko pamoja katika eneo tambarare na vimekaa square vizuri, unaweza kuunga hadi viwanja vinne pamoja ukapata 40mx40m ambayo ni zaidi ya robo heka.

Karibuni sana, 'VIWANJA NA NYUMBA' 0718-617-522.
 
Back
Top Bottom