ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 42,374
- 49,031
Habari za leo wadau
Kichwa cha mada kinahusika,miaka ya nyuma kidogo ilikuwa mtu asipokuwa na ufaulu mzuri wanamkimbizia kwenye ualimu,siku hizi imekuwa ni fani za afya kwa ngazi ya diploma kushuka chini
Naomba ieleweke vyema hawa watu ni wale wanahusika na afya zetu moja kwa moja kwa hiyo uelewa na umakini ni jambo nyeti sana kwao.Bahati mbaya watu hawa kutokana na uelewa finyu wamekuwa wakitufanyia majaribio miili yetu kwa kutokuwa wadadisi na makini kwenye utendaji wao,mbaya zaidi ni careless hili chanzo chake ni kudahiliwa kwa maksi ndogo na kusoma ilimradi chuo
Binafsi huwa nikienda hospitali au duka la dawa nikavikuta hivi vitoto kwa kweli huwa nakosa imani nao maana naelewa uelewa na uzoefu wao,ni afadhali ukuta mtu mzima kwa kigezo cha uzoefu atakufanyia detailed prescription na ushauri trustful
Kuna kesi nyingi za kukosea kuchoma sindano,kutoa dawa hovyo nk ambazo zimewaathiri watoto na watu wazima wengi tu naowafahamu.Mfano mdogo una mtoto mdogo let say anakohoa/kifua unaenda duka la dawa au vituo vya afya wanakupa dawa za kundi la expectorant,unampa mtoto zinalazimu akohoe ateme makohozi sasa mtoto mchanga anautashi upi wa kutema?
NB:Sina nia ya kukashifu fani au taaluma ya mtu ila ni vyema wachukuliwe watu wenye ufaulu angalau div 2 kwenda juu hawa ni wepesi kujifunza na kuelewa kuliko watu wa chini ya hapo.
Kichwa cha mada kinahusika,miaka ya nyuma kidogo ilikuwa mtu asipokuwa na ufaulu mzuri wanamkimbizia kwenye ualimu,siku hizi imekuwa ni fani za afya kwa ngazi ya diploma kushuka chini
Naomba ieleweke vyema hawa watu ni wale wanahusika na afya zetu moja kwa moja kwa hiyo uelewa na umakini ni jambo nyeti sana kwao.Bahati mbaya watu hawa kutokana na uelewa finyu wamekuwa wakitufanyia majaribio miili yetu kwa kutokuwa wadadisi na makini kwenye utendaji wao,mbaya zaidi ni careless hili chanzo chake ni kudahiliwa kwa maksi ndogo na kusoma ilimradi chuo
Binafsi huwa nikienda hospitali au duka la dawa nikavikuta hivi vitoto kwa kweli huwa nakosa imani nao maana naelewa uelewa na uzoefu wao,ni afadhali ukuta mtu mzima kwa kigezo cha uzoefu atakufanyia detailed prescription na ushauri trustful
Kuna kesi nyingi za kukosea kuchoma sindano,kutoa dawa hovyo nk ambazo zimewaathiri watoto na watu wazima wengi tu naowafahamu.Mfano mdogo una mtoto mdogo let say anakohoa/kifua unaenda duka la dawa au vituo vya afya wanakupa dawa za kundi la expectorant,unampa mtoto zinalazimu akohoe ateme makohozi sasa mtoto mchanga anautashi upi wa kutema?
NB:Sina nia ya kukashifu fani au taaluma ya mtu ila ni vyema wachukuliwe watu wenye ufaulu angalau div 2 kwenda juu hawa ni wepesi kujifunza na kuelewa kuliko watu wa chini ya hapo.