komunisti
JF-Expert Member
- Jan 5, 2015
- 1,044
- 1,374
950,000/=Ukweli ni upi?
950,000/=Ukweli ni upi?
Sawa mkuu, nilifikiri 2015 kumbe ni 2005?!? Sawa aisee, niwie radhi.Mwalim aliyeanza kazi 2005 yupo TGTS G ambayo ni 1600,000 gross unabisha nn!??? Tena huyo ni mwenye diploma!!! Je wabisha!!!
Kada gani INA marupu rupu?Tatizo mwalimu hana marupurupu kama kada nyingine
Kazi ya ya walimu usipoangalia unaweza kuishia kuwa bachaela wa kudumu.
Kama una familia ili muweze kumudu maisha lazima mwenzi naye awe kipato kizuri
Sio gari tuuu wana mpaka machine za kusaga magari magest nk!!! Amini nakwambia !!! Jamaa yangu ni teacher kasjiriwa 2016 ana machine mbili za kusaga! Coaster moja!!! Ana mpango wa kujenga gest namanga arusha yeye yupo dar!!!! Huwa ananichosha sana
Insurance mnayokatwa ni ya kitu gani?
Mmh n fani nying znazoizd ualimu kwe ishu ya mshaaraHivi unafikir mishahara ya serikali ni kiasi gani!?? Kwa fani zoote pesa ni ndogo zaid ya hiyo
Sijasoma kwa mkopo wa HESLB pia mi sio mwalimuMakato kwako sio kwa kila mtu
hyo ni kitu binafsi sio kwa kila mtu
Senior alisikika tokea mitaa ya MakumbushoHiyo ni bajeti ya Bia siku mbili za weekend, tena umejibana Sana hapo.
Sawa mkubwa ila poole naona hapo kwenu wanakubanaDogo mimi ni mwalimu was diploma kisha nikapiga uchumi nipo Halmashauri !!! Acha kuota hali sio
Ha ahaNyie mmekariri maisha njooni huku duniani muone!!! Eti mchumi wanaenda training!!! Yani ni!!! Nani kakudanganya!?? Hiyo training ya kila mwezi!! Pole sana
Tanzania Ni Tajiri
Tuchape Kazi Ndugu Zangu
Bwana Bure Hayupo
Tembeeni Kifua Mbele
Mawazo ya kipiglet! Kinachoangalia ni pato halisi mtu analorudi nalo nyumbani . Wengine mishahara inaonekana midogo lakini nyuma ya pazia wamefungasha posho zisizo na idadi na hivyo mwisho wa siku mwalimu na hiyo inayoonekana mshahara mkubwa , inakuwa kama kaambulia machicha !!!Hapo mwalimu anazidiwa kidogo na kada za Afya na Engineering.
Lakini taaluma nyingine zote kama Acccountancy, sociology, Mchumi, Maafisa Maendeleo, Kilimo, HR, Afisa Utumishi, WEO/VEO, sheria wote kwa walimu wanasubiri.
Mishahara ya walimu siyo midogo.
Walimu wanachojua ni kujiliza liza kama mbweha tu.
Upo sawa, isipokuwa ajira ya Kwanza unapanda baada ya miaka 4,na baada ya hapo unapaswa upande daraja Kila baada ya miaka 3.F1 ni daraja. Mtu anapanda baada ya kufanya kazi miaka kadhaa.
Yaani wale wa kwenye 419,000 wanenda kwenye 530,000 na wale wa 530,000 wanaenda kwenye 716,000 huku wale wa 716,000 ndio wanaenda kwenye 940,000.
Hii Tsh 940,000 ndio daraja la F1.
Kama huwa unasikia kuoandishwa madaraja ya watumishi ndio haya. Na kila mtumishi ana haki ya kupanda kila baada ya miaka 4.