Viwango vya mishahara kwa walimu: Ualimu ni mateso

TGTS E1=940000/= Basic Nimepanda juzi tu kwa Mama samia!!!
Msiseme tuna maisha magumu!ugumu wa maisha unaanzia kichwani mwako mwenyewe!!sema jpm ndio alitutesa sana kwa miaka hii sita!tunamshukuru Mungu:-
Mwaka wangu wa saba huu kwenye job:-Nyumba tatu,frem nne za biashara,glossary,ukumbi wa mikutano na Kuonyesha mpira live!Mashamba ya miti eka tano huko njombe!!!Duka la nyumbani hapa anauza mama watoto!!Baba wa watoto mbili Tatu loading... Please wait!!na mwakani mama ataongeza mishahara aliahidi mei mosi mwaka huu!!AKILI !AKILI!AKILI!!!WATUMISHI WENGI AKILI HAMUNA KABISA KAZI POMBE NA MIKASI TU!NAWAONA HAPA KIJIWENI FULL VITUKO!!!
Mhhhh
 
Tatizo watz wengi ni mbumbumbu hamjui kitu huo ni mshahara mkubwa sana na ndio viwango vya kada mbali mbali zinazo ajiriwa na serikali!!!
Kumbuka B ni mwalimu wa certificate
C1 ni mwalimu wa diploma anaeanza kazi
D ni mwalimu wa degree anaeanza kazi
Kumbuka kila mwaka kuna increments ( magu) alizizuia ila ni sheria pia baada ya kila miaka 4 wanapanda daraja!!!
Mfano mwalimu wa diploma aliyeanza kaz 2005 kwa sasa yupo tgts G ambayo ni 1600000/ million moja na laki sita hiyo ni gross !!! Tena angeenza vizuri angekuwa said ya G!!
Mimi sio mwalimu nikikuwa mwalimu sasa nipo idara ya mipango !! Nasema hiyo mishahara sio midogo kama watu mnavyipotosha watu!!!
Hebu weka mshahara wa
Msom wa degree was
Sociology
Mchumi
Mifugo
Human resources
Accounts
Sheria wslioajiriwa na serikali ipoje!!!
Acheni kupotosha watu wewe weka mshahara wako hapo tuone!!!mnatisha watu ili muonekane nyie mmetoboa maisha kumbe mavi matupu,!!
Huo ni mshahara mzuri na walimu wanatoboa maisha humo humo kikubwa serikali iongeze madaraja on time!!!
Ndugu usilinganoshe hao wachumi, sociologist na walimu.
Walimu wanasubiri kusahihisha mitihani na semina kwa mwaka labda mara 2
Huyo mchumi akienda trainning, kazi za nje ya ofisi kwa mwezi tu anapata perdm mara 5 ya mshahara
 
Hapa natofautiana na wewe mkuu. Legal Officer anayeanza kazi kwa local government anaanza na TGS E. Usipotoshe umma.
Pia kwa kawaida watumishi wenye shahada ya kwanza ukiachana na wale wa kwenye mashirika ya umma isipokuwa kwa baadhi ya kada kama afya huanza na daraja TGS D.
Kada ya Afya ina Scale zake tofauti na uliyoitaja...Wana Scale zinaitwa "TGHS......"
 
Tatizo watz wengi ni mbumbumbu hamjui kitu huo ni mshahara mkubwa sana na ndio viwango vya kada mbali mbali zinazo ajiriwa na serikali!!!
Kumbuka B ni mwalimu wa certificate
C1 ni mwalimu wa diploma anaeanza kazi
D ni mwalimu wa degree anaeanza kazi
Kumbuka kila mwaka kuna increments ( magu) alizizuia ila ni sheria pia baada ya kila miaka 4 wanapanda daraja!!!
Mfano mwalimu wa diploma aliyeanza kaz 2005 kwa sasa yupo tgts G ambayo ni 1600000/ million moja na laki sita hiyo ni gross !!! Tena angeenza vizuri angekuwa said ya G!!
Mimi sio mwalimu nikikuwa mwalimu sasa nipo idara ya mipango !! Nasema hiyo mishahara sio midogo kama watu mnavyipotosha watu!!!
Hebu weka mshahara wa
Msom wa degree was
Sociology
Mchumi
Mifugo
Human resources
Accounts
Sheria wslioajiriwa na serikali ipoje!!!
Acheni kupotosha watu wewe weka mshahara wako hapo tuone!!!mnatisha watu ili muonekane nyie mmetoboa maisha kumbe mavi matupu,!!
Huo ni mshahara mzuri na walimu wanatoboa maisha humo humo kikubwa serikali iongeze madaraja on time!!!
Hahahahah...unaongea kuhusu reality???? Unajua mwalimu aliyeanza 2005 ana scale gani?

Uliza uambiwe, lkn nakushangaa pia...Mto mada kaeleza vizuri, shida nini unashindwa kuangalia alichosema,??

Eti 1600000!??!
 
TGTS E1=940000/= Basic Nimepanda juzi tu kwa Mama samia!!!
Msiseme tuna maisha magumu!ugumu wa maisha unaanzia kichwani mwako mwenyewe!!sema jpm ndio alitutesa sana kwa miaka hii sita!tunamshukuru Mungu:-
Mwaka wangu wa saba huu kwenye job:-Nyumba tatu,frem nne za biashara,glossary,ukumbi wa mikutano na Kuonyesha mpira live!Mashamba ya miti eka tano huko njombe!!!Duka la nyumbani hapa anauza mama watoto!!Baba wa watoto mbili Tatu loading... Please wait!!na mwakani mama ataongeza mishahara aliahidi mei mosi mwaka huu!!AKILI !AKILI!AKILI!!!WATUMISHI WENGI AKILI HAMUNA KABISA KAZI POMBE NA MIKASI TU!NAWAONA HAPA KIJIWENI FULL VITUKO!!!
We ni shule ya msingi au sekondari
 
Hapo mwalimu anazidiwa kidogo na kada za Afya na Engineering.

Lakini taaluma nyingine zote kama Acccountancy, sociology, Mchumi, Maafisa Maendeleo, Kilimo, HR, Afisa Utumishi, WEO/VEO, sheria wote kwa walimu wanasubiri.

Mishahara ya walimu siyo midogo.

Walimu wanachojua ni kujiliza liza kama mbweha tu.
Sasa D1 ya Accountant nii 710,000 tofauti 6,000 ndo unasema watasubiri??!!!

Afu mwanasheria/wakili anaanza na E1 950,000
 
Hapo mwalimu anazidiwa kidogo na kada za Afya na Engineering.

Lakini taaluma nyingine zote kama Acccountancy, sociology, Mchumi, Maafisa Maendeleo, Kilimo, HR, Afisa Utumishi, WEO/VEO, sheria wote kwa walimu wanasubiri.

Mishahara ya walimu siyo midogo.

Walimu wanachojua ni kujiliza liza kama mbweha tu.
Uko sahihi tatizo walimu hawana madili zaidi ya kusimamia na kusahisha mitihani
 
Sasa D1 ya Accountant nii 710,000 tofauti 6,000 ndo unasema watasubiri??!!!

Afu mwanasheria/wakili anaanza na E1 950,000
Sijasema watasubiri. Nilichotaka ni kuonesha hii dhana ya walimu kulialia wana mshahara mdogo inatoka wapi ?
 
Hata walimu wana dili zao. Mimi nina marafiki zangu wawili, kila mwaka wanaenda Marking wanarudi mpaka na 2M.

Mambo yao ni mazuri tu.
Yaani kilimo kazi za kitumwa nje ya ofisi ukilipwa ni nyingi,hata milioni unawwza piga,acha hzo kazi nje za walimu
 
Ndugu usilinganoshe hao wachumi, sociologist na walimu.
Walimu wanasubiri kusahihisha mitihani na semina kwa mwaka labda mara 2
Huyo mchumi akienda trainning, kazi za nje ya ofisi kwa mwezi tu anapata perdm mara 5 ya mshahara
Mkuu humu ndani nimegundua kuna watu na maviatu.. Wanapiga tu kelele.
 
Back
Top Bottom