Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,022
- 54,306
Haa HaaUsisahau kuna pisi kali inataka chake nayao!
Haa HaaUsisahau kuna pisi kali inataka chake nayao!
Mzee wa kumwekua mwekua!!Naomba unipe konekshen kwa mganga wako anipe ile dawa ya kuwaua wachawi!huku kwetu wanatusumbua sana mkuu!!!Usisahau kuna pisi kali inataka chake nayao!
kuna watu wana mishahara kama hii ya walimu tu but kwa mwez wanapiga 1m+ za deals jumlisha na kama laki tano posho na bado tuvikao so jamaa anaweza kuvuta 3m kwa mweziHivi unafikir mishahara ya serikali ni kiasi gani!?? Kwa fani zoote pesa ni ndogo zaid ya hiyo
Ila inategemea na biashara, mm nna biashara laki 3 zinajizungusha ila faida kwa mwezi laki na nusu mpk laki 2Biashara yenye faida ya laki 1 kwa mwezi ni milioni 3,.....mtaji wake si chini ya milioni 30, hongereni sana wapambanaji
Duh kwahio ili kufika F1 lazma upige kazi 16 years 😅 kama ulianza kazi na miaka 30 basi utafikia hapo ukiwa 46?
Nimejifunza kitu kwako mzee!TGTS E1=940000/= Basic Nimepanda juzi tu kwa Mama samia!!!
Msiseme tuna maisha magumu!ugumu wa maisha unaanzia kichwani mwako mwenyewe!!sema jpm ndio alitutesa sana kwa miaka hii sita!tunamshukuru Mungu:-
Mwaka wangu wa saba huu kwenye job:-Nyumba tatu,frem nne za biashara,glossary,ukumbi wa mikutano na Kuonyesha mpira live!Mashamba ya miti eka tano huko njombe!!!Duka la nyumbani hapa anauza mama watoto!!Baba wa watoto mbili Tatu loading... Please wait!!na mwakani mama ataongeza mishahara aliahidi mei mosi mwaka huu!!AKILI !AKILI!AKILI!!!WATUMISHI WENGI AKILI HAMUNA KABISA KAZI POMBE NA MIKASI TU!NAWAONA HAPA KIJIWENI FULL VITUKO!!!
! Huo mpango niliwahi ufanya! Nilitamani kununua nyumba, hela toka mkopo wa bank A ikawa haitoshi!
Nilichofanya ni kuongea na kijana wangu wa hazina anisimamishie makato kwa mwezi mmoja ikaja pay slip "safi", nikachukua tena fomu na kwenda bank B kukopa na nikafanikiwa.
Sasa bank zote zikawa zinanyang'anyana mshahara wangu kama mafisi wagombeavyo mzoga, mi nawachora tu nikiwa ndani ya mjengo.
Zoezi hilo hadi kumalizika inabidi uwe umejizatiti kisaikolijia hasa na uwe na miradi ya kukuongezea kipato iliyosimama sawasawa, vinginevyo utakuwa kama umefukuzwa kazi kwa aibu.
Maana na ile furaha ya mwisho wa nwezi ya: "leo mshahara umetoka",inakuwa haikuhusu na hautakiwi kulalamika popote!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni yale yale , MD fresh graduate ni aibuWeka mishahara ya kada zingine kama afya na kilimo ili tulinganishe vizuri
Inategemeana kaanza na ngazi ipi ya mshahara miaka 16 mwenye cheti, diploma 12,digrii 8Duh kwahio ili kufika F1 lazma upige kazi 16 years kama ulianza kazi na miaka 30 basi utafikia hapo ukiwa 46?
Tuition na kutoka na chalk kweny handbag huku vyoo vya vikijengwa kwa kuwatumia wanafunzi kufukua mchanga.Take home 331,000 . Hapa lazima ujiongeze.
NAOMBA KUFAHAMU KIREFU CHA TGTS TAFADHALIViwango Vya Mshahara Wa Walimu 2021/2022 | Teachers Salary Scale Range
New Government Salary Scales: Approved
B1 = Basic 419,000
TGTS B1 = 419,000/- and TGTS C1 = 530,000/- TGTS D1 = 716,000/- and TGTS E1 = 940,000/- TGTS F1 = 1,235,000/- and TGTS G1 = 1,600,000/- TGTS H1 = 2,091,000/- and TGTS I = 2,810,000/-
C1 = Basic 530,000
Cwt = 8,390. Pension = 20,950. Income = 46,090. Insur = 12,570 Take home = 331,000
D1= Basic 716,000
Cwt = 10,600. Pension = 26,500. Income = 58,300. Insurance = 15,900 Take home = 418,700
E1 = Basic 940,000
Cwt = 14,320. Pension = 35,800. Income = 78,760. Insurance = 21,400 Take home = 565,640
F1 = Basic 1,235,000
Cwt = 18,800. Pension = 47,000. Income = 103,400. Insurance = 28,200 Take home = 742,600
Kazi ni kwako ndugu mwalimu
Cwt = 24,700. Pension = 61,750. Income = 135,850. Insurance = 37,050 Take home = 975,650.
Kama uko buku nyanda za huu na huna mambo ya kijinga, km ulevi, usharati, usinzi, namambo kama hayo, na pia kama uko single, you can survive!!Take home 331,000 . Hapa lazima ujiongeze.