castieltsar
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,304
- 2,159
Dahhhhh baada ya miaka 20+ kazini ndo unafika laki TisaF1 ni daraja. Mtu anapanda baada ya kufanya kazi miaka kadhaa.
Yaani wale wa kwenye 419,000 wanenda kwenye 530,000 na wale wa 530,000 wanaenda kwenye 716,000 huku wale wa 716,000 ndio wanaenda kwenye 940,000.
Hii Tsh 940,000 ndio daraja la F1.
Kama huwa unasikia kuoandishwa madaraja ya watumishi ndio haya. Na kila mtumishi ana haki ya kupanda kila baada ya miaka 4.