Viwanda vyote nchini vyatakiwa kutumia alama za utambulisho wa bidhaa, MSIBOMILIA (BARCODES)

Kagondo

JF-Expert Member
Jun 6, 2016
296
79
Makamu wa Rais SAMIA SULUHU HASSAN amewataka wafanyabiashara na viwanda vyote nchini kutumia alama za utambulisho wa bidhaa, MSIBOMILIA (BARCODES) hapa nchini badala ya kutumia alama hiyo kutoka nchi za nje kama hatua ya kuimarisha masoko na utambulisho wa bidhaa za Tanzania katika masoko ya nd
Samia Saba saba.jpg
ani na ya nje ya nchini.
 
ndo hazijaainishwa bado bz,,,,wanataka iwepo bei tofauti tofauti kat ya wafanyabiashara wakubwa wa kati na wa wadogo
 
Back
Top Bottom