Mkuu The bold akifanya yake takuletea zawadi ya kiwalo kimojawapo.Jamani wamependezaje?Ila waliovaa hils,jeans na nguo za kubana wameharibu.
Waliovaa short dresses na flat shoes wametisha sana.
kuwa natural ni tabia ya mtu, tena ni aghali kdogo depends na ngozi yako!Na hayo ma cosmetics hivi hayana effects kwa mtoto? Mfano mama kijacho kuweka dawa kichwani,malipustiki, malotion makali hivi yanamuathiri mtoto? Bora mtu ukawa natural maana navyosikia unachokula mama na mtoto anakula sasa what about hizo cosmetcs?
Nipo mpenzi wangu. I miss you more love.Shost upo?
Miss you sana sana
Masha Allah. Serious? Lol. Mi pia bana. 19/12/2014.Nimetupia nyingi sana baada ya kukaa muda mrefu nikilea. Nina kijana wa miaka miwili sasa ujue.