Mgeni wa Mungu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 1,233
- 1,287
Mods andikeni vyama vya upinzani kufutwa 2020
Mods wana sehemu nyingi za kurekebisha rudia tena
Mods andikeni vyama vya upinzani kufutwa 2020
Better ask them to take out this whole crap.Mods andikeni vyama vya upinzani kufutwa 2020
Asante sana mods kwa kuunganisha hii takataka na thread nyingine.Wananchi walio wengi ambao ambao hawaijui wala kushabikia siasa za mitandaoni wana imani kubwa na serikali ya chama cha mapinduzi.
Ushaidi ni namna rais anavyosimamishwa wakati wote akiwa ziarani
Wananchi walio wanyonge kama Mimi tuna imani na kwa hakika serikali chini ya chama
Imara inatatua kero zetu nyingi.
Kasoro hazikosekana maana kwenye wengi pana mengi,ila juhudi zinaonekana.
Rome haikujengwa siku moja.
Tujenge nchi kwa kasi.
Na kwa namna wananchi walivyo onesha mapenzi kwa chama ktk uchaguzi mdogo Wa madiwani na ubunge hivi karibuni.
Naomba Mungu atuweke 2020.
Hawa watu Mkuu wanaweza kukwambia mavi hayanuki bali yananukia..KWELI CCM MNAJUA KUPAMBA MAVI MAUA
Hakika hujakosea mkuu hao jamaa ni jau mnoHawa watu Mkuu wanaweza kukwambia mavi hayanuki bali yananukia..
CCM ni kusanyiko la binadamu hamnazo.
Na wewe mwenye akili nusu kwa taarifa ni kwamba Magufuli amezaliwa 29 Octoba, 1959!Kwanini isiwe toka 1961 kama umeamua kujitoa akili mazima
coco mambo..Kabisa kabisa
Magufuli oyeeeee
Wenye wivu mji...
Ha ha haaaa
Hivi ni kweli una kadi ya uanachama wa CHADEMA?Nini kilishindikana Jiwe kuwa Rais mwaka huo ulioutaja?
Sasa mwaka 1995 alikuwa kafikisha umri wa kuwa rais? acha ujingaNa wewe mwenye akili nusu kwa taarifa ni kwamba Magufuli amezaliwa 29 Octoba, 1959!