Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 152,998
- 453,891
Mxxiuew kwendraaaaaMrembo bado tu hujaanza kiweka jina lako halisi
Mxxiuew kwendraaaaaMrembo bado tu hujaanza kiweka jina lako halisi
Sawa mrembo ila jina lako nitalijua tu.Mxxiuew kwendraaaaa
Fanya kazi ndugu yangu , jitahidi kuwa mbunifu na usipoteze muda kuhangaika na bila kufanya kazi, hapo hata Mungu atakuonaMaendeleo ya vitu sio maendeleo ya watu. Ukweli ni kwamba watu wengi wana hali mbaya sana.
Unazidi kwenda nje ya logic.usipende ku-generalise mambo be specific. No research no right to speak.Fanyeni maandamano ya kumshangilia.
Yeye mheshimiwa tunaomba avumilie tu hizo kejeli zao.Miaka mi5 ni mingi mno, hiyo kasi ya sasa ni moto wa kifuu.
Unasema Upigaji dili haurudi kamwe, Bilioni 1500 zipo wapi? Hata kama wamechukua CHADEMA sema tu... Maana ndo zenuMajungu,uzushi,porojo na takataka kibao. Aibu walionayo sasa wamegeuza gia maisha yako hatarini kutuondoa kwenye uzushi kutupeleka kwenye hofu ya movie. Kila movie mtatoa lakini mwamba anapiga kazi. Upigaji dili haurudi kamwe. Kuleni mapesa ya wakoloni mamboleo tuko imara kumlinda