Kitwa-Mulomoni
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 1,779
- 1,119
Sadamu
Sadam Husain alikuws raising wa Kuwait no kweli. No kweli kwa Iraqi chini ya Saddam. Maana hiyo ndiyo ilikuwa sababu kubwa ya kuivamia Kuwait. Na mwsnzo wa vita vya 1991. Saddam alikuwa Raising wa Kuwait kwa miezi saba baada ya kuivamia. = hivyo Saddam alikuwa raising wa Kuwait.Kwaalipo tufkisha hapa historia lazima itamkumbuka tuu hata asipokaza uzi unaousema,make kama sukari alikuta inauzwa 5000 yeye kafanya ishuke mpa 2800, kwanini asikumbukwe? Sadam Hussein kuwa raisi wa Kuwait kwanini asikumbukwe kwenye historia nakuwekwa kwenye front fed? Yaani huyu kashaingia kwenye kitabu cha Guineas tayari.