utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Hutaki unaacha. Huo ndio ukweli. Wanamkubali kimoyo moyo na wanamtaja kimoyomoyo. Wakitoka nje wanajifanya kumsema vibaya. Nampa Tano Magu. Namshauri ashikilie hapo hapo
Lisu ni boga... Anazidi kujidhalilisha tu... Much know sometime sio nzuriKama alivyo Tundu Antipas Lissu.
@admin2 uko wapi nyuzi za hivi zimekua nyingi hadi zinaboawakuu huu ni uzi maalumu wa kuunga mkono juhudi zinazofanywa na rais jpm katika kuinua uchumi wa nchi pia katika kuelekea Tanzania ya viwanda.Katika uzi huu tutaelezea juhudi zote zinazofanywa na jpm katika kuleta maendeleo
wakuu huu ni uzi maalumu wa kuunga mkono juhudi zinazofanywa na rais jpm katika kuinua uchumi wa nchi pia katika kuelekea Tanzania ya viwanda.Katika uzi huu tutaelezea juhudi zote zinazofanywa na jpm katika kuleta maendeleo
Katika matumizi ya siku hizi mara mtu akwambieJina la Mungu na Mama yangu mzazi ndio kipaumbele kila siku.
WEWE UNAONEEKANA HATA MAMA BABA NA MUNGU WAKO UMEWAFUTA KWENYE UBONGO WAKO KWA UZOMBI ULIOKUJAA WA LUMUMBA.Wakuu siwezi pitisha siku bila kutaja jina la mweshimiwa Rais nadhani uwa anajing'ata sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
MOLA AKUSAMEHE HUJUI ULICHOJAZA KWENYE UBONGO WAKOWakuu siwezi pitisha siku bila kutaja jina la mweshimiwa Rais nadhani uwa anajing'ata sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa mkuu inatakiwa uchunguzwe hata leo hii ikiwezekanaNi muda muafaka wa kuchunguzwa afya ya akili. Si bure.