Lugha on fleekBora ungelisema tuponae bega kwa bega lakini TUPO NYUMA YAKE basi ajiombee mwenyewa au atuombee sisi tulio NYUMA YAKE
Hakuna kilichobadilika labda kama ulikuwa unaishi kwa madili.ni aibu sana kwa kweli. yaani mtaani wananchi wamepigika huku serikali ikijitapa uchumi unakuwa.kwangu binafsi hata mkulu aondeke leo sina cha kupoteza. hali ngumu sana mtaani. wafanyakazi wanalia, wakulima taabani. wafanyabiashara wanajikongoja.
Ukimuona nkanga chief mwambie tunamsalimiaWaliajiriwa wa Mahakama waliositishiwa ajira zao mwaka Jana wamerudishwa kazini wameambiwa kuripoti tarehe 01/08/2017 hakika ww ni Kiongozi mwenye utaratibu udumu milele watanzania tupo nyuma yako tunakuombea sana.
Post sent using JamiiForums mobile app
Mimi xaxa naishi kwa amani kwani mungu ametuletea mtu sahihi nahatimaye naamini atashinda kwani yeyote afanyaye mazuri mungu humuongoza. Kazana baba kwan Taifa letu linakuhitaji
Nyinyi watanzania wa wapi?Mtu sahihi kwako, mwambie ukanywe naye chai, Sisi watanzania hawamuhitaji JPM.