Kaangukia mgongo hahahahahahahahaMuhongo kakwepa viunzi weeee ila leo kanasamo!!! ha ha ha
Bedford limeshika kasi wee shikilia bomba tuAangalie tu asije kutumwaga
walikua holidayHivi marais waliopita walikuwa wanafanya nini?
Mkigonga mwamba nitakuja kuchukua majeruhiJPM twende baba sio lazima tufike wote kule kwenye Nchi ya ahadi,break zimekatika tutasimamia gear tu...
Sasa kama break hakuna unafikilri itakuwaje sasa??We jamaa viiipi??? Tusimamie gear tu,??
JPM twende baba sio lazima tufike wote kule kwenye Nchi ya ahadi,break zimekatika tutasimamia gear tu...