hahaaaa....piga picha na shar rukh khan untumie miyee....
staki ujinga
Uwe na adaby mimi sawa na baba yako ki umriHawajakupofua kweli jicho la tatu huko india maana nasikia wanapenda sana kula jicho
Kumbe ni sawa na baba yangu mie nilidhan bababa yangu. Nijibu basi swali languUwe na adaby mimi sawa na baba yako ki umri
Raisi Magufuli ni kama alijua kwamba hawa watu wa chadema hawana nidhamu na wala hawako kwa maslahi ya nchi, fikiria kama Mikutano kwa wasiochaguliwa isingepigwa marufuku sasa hivi tungekuwa, hatufanyai kazi, hatusali wala hatulali na akina Wema Sepetu mitaani na chadema, sasa wamehamia Mahakamani waache wabakie hapo hapo mpaka 2020!
Msukuma unaweza kukutananae kafungwa Pingu mkononi ukimuuliza kunatatizo anakujibueti Doho shida wakati mkononi anapingu,Leo hii uje uniambie Magufuli ni Gineus? wadanganye akina Makonda ndio wanatoka misungwi + chato.Raisi Magufuli ni kama alijua kwamba hawa watu wa chadema hawako kwa maslahi ya nchi, fikiria kama Mikutano kwa wasiochaguliwa isingepigwa marufuku sasa hivi tungekuwa, hatufanyai kazi, hatusali wala hatulali na akina Wema Sepetu mitaani na chadema, sasa wamehamia Mahakamani waache wabakie hapo hapo mpaka 2020!
Wakati ukutaHuyu jpm jamani mi namadimire sana. Amewasambalatisha wezi wote kiasi ambacho nchi sasa imeparaganyika kila mtu amechanganyikiwa yaani hawaamini kinachotokea mpaka wanafikili ni nguvu ya soda bado ipo Siku atalegeza.
Wauza unga wote wameamua kuwalipa vijana ili kumuattack mitandaoni na kumtukana ovyo ovyo wakiongozwa na chadema ambacho kimebadili gia tena na kuanza kuwatetea wauza na watumia madawa kuwa wako sahihi.
Upinzani haujaamini haya yanayotokea kama yangetokana na ccm ambayo walikuwa wameshainyooshea mikono juu.
Wapinzani akiwemo zitto wameshikwa na bumbuazi mpaka na wao wanatukana ovyoovyo mitandaoni.