O Omumura JF-Expert Member Aug 20, 2009 476 18 Jan 16, 2010 #1 Hatimaye jana Timu ya Ivory Coast imefanya kweli pale ilipoinyuka Ghana, hawa jamaa kama vile wanachukua kombe!
Hatimaye jana Timu ya Ivory Coast imefanya kweli pale ilipoinyuka Ghana, hawa jamaa kama vile wanachukua kombe!
Consultant JF-Expert Member Jun 15, 2008 11,401 20,661 Jan 16, 2010 #2 Jana wamefanya kweli lkn kwenye kuchukua kombe bado mapema kaka. Si unakumbuka nao walianza kwa draw? bado kuna team kama Cameroon, Nigeria ambazo hatujaona zinakujaje mechi ya pili. Egypt nao si wa kubeza sana.
Jana wamefanya kweli lkn kwenye kuchukua kombe bado mapema kaka. Si unakumbuka nao walianza kwa draw? bado kuna team kama Cameroon, Nigeria ambazo hatujaona zinakujaje mechi ya pili. Egypt nao si wa kubeza sana.
RayB JF-Expert Member Nov 27, 2009 2,751 196 Jan 16, 2010 #3 Ushabiki huu ni wa ukweli au kwa sababu ilipita bongo na hata JK akawahaidi support? Haya tusubirie kombe ilitakapopelekwa K'manjaro
Ushabiki huu ni wa ukweli au kwa sababu ilipita bongo na hata JK akawahaidi support? Haya tusubirie kombe ilitakapopelekwa K'manjaro
Kigogo JF-Expert Member Dec 14, 2007 20,508 6,146 Jan 16, 2010 #4 yes wameshinda but bado sijaridhishwa na kiwango chao..wako slow sana wanacheza kwa uoga wasiumie
ELNIN0 JF-Expert Member Nov 26, 2009 4,161 1,460 Jan 18, 2010 #5 Omumura said: Hatimaye jana Timu ya Ivory Coast imefanya kweli pale ilipoinyuka Ghana, hawa jamaa kama vile wanachukua kombe! Click to expand... So far sijaona mpira wao na ubora wa timu hii mbali ya kuona individial skills tu toka kwa mastaa wachache. i'm not convinced - bado pamoja na kuwa wamesonga mbele.
Omumura said: Hatimaye jana Timu ya Ivory Coast imefanya kweli pale ilipoinyuka Ghana, hawa jamaa kama vile wanachukua kombe! Click to expand... So far sijaona mpira wao na ubora wa timu hii mbali ya kuona individial skills tu toka kwa mastaa wachache. i'm not convinced - bado pamoja na kuwa wamesonga mbele.