Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 687
Mhmm jitahidini kujifunza maujuzi ni kama hawaridhiki vile ni kawaida sana kwao kuacha maini na kutafuta dagaa zile chungu za vumbi wanaume hawabebeki hayo maujuzi mtamaliza mizungu ya kila nchi akiamua kutoka atatoka tu bt ni vema kujitahidi atlist apunguze tu.