COURTESY
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 2,006
- 706
aiseee hii inaweza kupita ikulu kweli jamani,si itaharibu haribu barabara....mhhunataka kuleta wewe leta tu. Wenzio hawaulizi.....
aiseee hii inaweza kupita ikulu kweli jamani,si itaharibu haribu barabara....mhhunataka kuleta wewe leta tu. Wenzio hawaulizi.....
aiseee hii inaweza kupita ikulu kweli jamani,si itaharibu haribu barabara....mhh
Dah! Hi balaa mkuu hata ya punda ina afadhali.
Jiwe si mchi.na jembe likilima mahala si pake hukongoka.
hahahaha aisee afu jamaa anaonekana descent na suti juu,cjui anampelekea mkewe zawadi du
Halafu huyu jamaa kama vile namfahamu ila sina uhakika kama ni yeye au namfananisha.
Unamfananisha...
aiseee hii inaweza kupita ikulu kweli jamani,si itaharibu haribu barabara....mhh
Astakaflulahi!!! weshenzi hawa!!!!! mwinyenzi mungu awape rehma waache haya maovu, watulie inshalah huenda wakapata waume wakuaminika!!!!!
Kwa nini Mch Rwakatare hataki kurudi kwa mumewe?Inabidi tuwaulize wanasikia raha gani kutumia hizo za nchi 12.
Kwa nini Mch Rwakatare hataki kurudi kwa mumewe?
Unavihitaji Rich? Mbona sokoni vingi tu kwa sasa!Huu ni ubaguzi wa kijinsia, viungo vya kike hamna??
Kwani anapata fedheha gani?
Kakwapuliwa mipete yake!
Mbona nyumba za kulala wageni kutwa zinajaa wenyeji hamsemi?au kuna uovu mzuri na uovu mbaya unafiki utatumaliza.