Viumbe, mimea na wadudu vamizi hugharimu Afrika dola trilioni 3.5 kwa mwaka

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,001
9,867
Utafiti mpya unasema wadudu, minyoo, mimea vamizi ya magugu,zinagharimu Afrika zaidi ya $ 3.5tn (£ 2.5tn) kila mwaka.

Watafiti walio Ghana, Kenya, Uingereza na Uswizi wameelezea athari mbaya za spishi zinazoletwa na shughuli za wanadamu.

Nigeria, ambayo hasara yake inakadiriwa kuwa dola trilioni moja kwa mwaka, ni nchi iliyoathirika zaidi.

Gharama nyingi zinatokana na kupalilia - kazi inayofanywa hasa na wanawake na watoto - lakini uharibifu unaosababishwa na wadudu unakadiriwa kuwa karibu na thamani ya dola bilioni 40.

BBC Swahili

1621510123544.gif
 
Back
Top Bottom