radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,429
- 32,173
Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), kimeshangazwa na kitendo cha Tume ya Uchaguzi, kuongeza vituo vipya 16 vya kupigia kura katika Jimbo la Ukonga bila kueleza vilipo wala majina yake, huku wakihoji kwanini tume hiyo imeongeza vituo hivyo kutoka 659 vya mwaka 2015 hadi 675 mwaka huu wakati hakuna uandikishaji mpya uliofanyika. #KwanzaHabari