Vituo 5 vya joto na baridi kujengwa jijini Dodoma

Tangu Dodoma ipendekezwe kuwa makao makuu ilishajulikana hiyo sehemu ni kame, ak.a jangwa.......lakini zaidi ya miaka 60 kuwekeza kuboresha hali ya hewa hapo Dodoma kwa kupanda miti ya kutosha na kutengeneza bustani zenye mabwawa ya maji mjini imeshindikana. Kwa sababu mmeona hali ya hewa inatishia amani ndo mnakurupuka kwenda kuweka AC, sasa sijui hizo AC zitatupooza watu zaidi ya milioni moja kwa mkupuo, au tutakuwa tunaingia kwa zamu......​
 
Tangu Dodoma ipendekezwe kuwa makao makuu ilishajulikana hiyo sehemu ni kame, ak.a jangwa.......lakini zaidi ya miaka 60 kuwekeza kuboresha hali ya hewa hapo Dodoma kwa kupanda miti ya kutosha na kutengeneza bustani zenye mabwawa ya maji mjini imeshindikana. Kwa sababu mmeona hali ya hewa inatishia amani ndo mnakurupuka kwenda kuweka AC, sasa sijui hizo AC zitatupooza watu zaidi ya milioni moja kwa mkupuo, au tutakuwa tunaingia kwa zamu......​
Haya bwana ANTI miradi yupo humu karibu ananzisha JF yake ya itakayoruhusu maisha ya kushushiana hadhi.... Yote hayo hujajua tunataka kununu vifaa ili MELI ZIFANYE KAZI
 
Tangu Dodoma ipendekezwe kuwa makao makuu ilishajulikana hiyo sehemu ni kame, ak.a jangwa.......lakini zaidi ya miaka 60 kuwekeza kuboresha hali ya hewa hapo Dodoma kwa kupanda miti ya kutosha na kutengeneza bustani zenye mabwawa ya maji mjini imeshindikana. Kwa sababu mmeona hali ya hewa inatishia amani ndo mnakurupuka kwenda kuweka AC, sasa sijui hizo AC zitatupooza watu zaidi ya milioni moja kwa mkupuo, au tutakuwa tunaingia kwa zamu......​
Mtakua mnaingia kwa zamu zamu Kama mlivyokua mnaingia kwny vile vyumba vya kujifukiza pale Muhimbili.
 
Ila hii nchi ina vituko sijui hata hayo mawazo tu wanayatoaga wapi, yaaani mtu akila tu akashiba na kitambi chake anawaza tu ujinga, Kweli hakuna vipaumbele vya kutatua hapo Dodoma nzima hata kwa wanafunzi wa shule za Dodoma mpaka watu wawaze huu uhuni wao? Badala tufanye vitu vinavyowagusa watu wengi hasa jamii zetu tunafanya upuuzi tu
 
Kutokana na hali ya hewa ya Dodoma kuwa ya Kitropical Serikali imeamua kusaini dola za Marekani Milion 10 kwa ajili ya kuazisha vituo 5 maalumu vya Joto na Baridi. Vituo hovyo vitatumika wakati hali ya hewa ya kupita kiasi itakapotokea Jiji Dodoma ambapo vitafunguliwa vituo vyake vya Joto na Baridi kwa wakaazi kupumzika kutoka kwa hali ya hewa. Vituo vya Joto na Baridi huko Dodoma vinapatikana katika maeneo yafuatayo:

Nkuhungu

22 S. Nkuhungu St.

Masaa: 8 asubuhi hadi 5 jioni Jumatatu hadi Ijumaa



Udom

1800 Udom St.

Masaa: 7 asubuhi hadi 4 jioni Jumatatu hadi Ijumaa



Mtumba

Mji wa Serikali 200 Mashariki

Masaa 24 (hakuna vifaa vya kulala)



Idara ya Polisi Zimamoto

20 NHIF PLAZA

Masaa 24 (hakuna vifaa vya kulala)



Chamwino

227 Chamwino St.

Masaa:

9 asubuhi hadi 9 jioni Jumatatu hadi Alhamisi

9 asubuhi hadi 6 jioni Ijumaa

9 asubuhi hadi 5 jioni Jumamosi

Adhuhuri hadi saa 5 asubuhi. Jumapili
Hallucinations
 
Kutokana na hali ya hewa ya Dodoma kuwa ya Kitropical Serikali imeamua kusaini dola za Marekani Milion 10 kwa ajili ya kuazisha vituo 5 maalumu vya Joto na Baridi. Vituo hovyo vitatumika wakati hali ya hewa ya kupita kiasi itakapotokea Jiji Dodoma ambapo vitafunguliwa vituo vyake vya Joto na Baridi kwa wakaazi kupumzika kutoka kwa hali ya hewa. Vituo vya Joto na Baridi huko Dodoma vinapatikana katika maeneo yafuatayo:

Nkuhungu

22 S. Nkuhungu St.

Masaa: 8 asubuhi hadi 5 jioni Jumatatu hadi Ijumaa



Udom

1800 Udom St.

Masaa: 7 asubuhi hadi 4 jioni Jumatatu hadi Ijumaa



Mtumba

Mji wa Serikali 200 Mashariki

Masaa 24 (hakuna vifaa vya kulala)



Idara ya Polisi Zimamoto

20 NHIF PLAZA

Masaa 24 (hakuna vifaa vya kulala)



Chamwino

227 Chamwino St.

Masaa:

9 asubuhi hadi 9 jioni Jumatatu hadi Alhamisi

9 asubuhi hadi 6 jioni Ijumaa

9 asubuhi hadi 5 jioni Jumamosi

Adhuhuri hadi saa 5 asubuhi. Jumapili

Kwanza Hii habari sio Kweli 100%
Letu Source kwanza...
Umewafanya watu humu maboya
Dodoma Demand
Cc: Asprin
 
Kutokana na hali ya hewa ya Dodoma kuwa ya Kitropical Serikali imeamua kusaini dola za Marekani Milion 10 kwa ajili ya kuazisha vituo 5 maalumu vya Joto na Baridi. Vituo hovyo vitatumika wakati hali ya hewa ya kupita kiasi itakapotokea Jiji Dodoma ambapo vitafunguliwa vituo vyake vya Joto na Baridi kwa wakaazi kupumzika kutoka kwa hali ya hewa. Vituo vya Joto na Baridi huko Dodoma vinapatikana katika maeneo yafuatayo:

Nkuhungu

22 S. Nkuhungu St.

Masaa: 8 asubuhi hadi 5 jioni Jumatatu hadi Ijumaa



Udom

1800 Udom St.

Masaa: 7 asubuhi hadi 4 jioni Jumatatu hadi Ijumaa



Mtumba

Mji wa Serikali 200 Mashariki

Masaa 24 (hakuna vifaa vya kulala)



Idara ya Polisi Zimamoto

20 NHIF PLAZA

Masaa 24 (hakuna vifaa vya kulala)



Chamwino

227 Chamwino St.

Masaa:

9 asubuhi hadi 9 jioni Jumatatu hadi Alhamisi

9 asubuhi hadi 6 jioni Ijumaa

9 asubuhi hadi 5 jioni Jumamosi

Adhuhuri hadi saa 5 asubuhi. Jumapili
Source,

Sehemu ndogo ya hiyo pesa ungewapa JKT ingetosha kupanda miti millioni kumi.

Hivyo kubadilisha hali ya hewa kwa muda mrefu ujao. Zoezi linakiwa liwe endelevu.

Kila nyumba, kila mtaa, kila sehemu zilizo wazi zinatakiwa kupandwa miti. Serikali inaweza kuhamasisha, kuelimisha na kutoa incentives kwa wananchi wote wa Dodoma.

Hizo AC gharama za repair and maintanance zitakuwa kubwa sana, hazitawafikia watu wengi na ni suluhisho la muda mfupi, kwa gharama kubwa.
 
Source,

Sehemu ndogo ya hiyo pesa ungewapa JKT ingetosha kupanda miti millioni kumi.

Hivyo kubadilisha hali ya hewa kwa muda mrefu ujao. Zoezi linakiwa liwe endelevu.

Kila nyumba, kila mtaa, kila sehemu zilizo wazi zinatakiwa kupandwa miti. Serikali inaweza kuhamasisha, kuelimisha na kutoa incentives kwa wananchi wote wa Dodoma.

Hizo AC gharama za repair and maintanance zitakuwa kubwa sana, hazitawafikia watu wengi na ni suluhisho la muda mfupi, kwa gharama kubwa.
Aliyekuambia Hali ya hewa itakuja kubadilika nani!? Bora kula AC hao JKT HAWAJUI KUTAFUTA FEDHA!?

Chagua mkoa wenye hospitali nyingi ILI AKILI YA MWANADAMU IWE INAWAZA MAGONJWA TU

 
Kwa maana hio AC za umma zitafungwa ili kupepelea mafisadi watakaokuwa Dodoma?
Yaani hapa sasa Mze Wassira ndipo atapatwa na pressure zaidi ya kukosa ubunge, maana kila akifikiria kulala na changudoa kwenye A/C na nafasi yake imechukuliwa na Bulaya yaani sipati picha anatukanaje watu huko mitaani Bunda.
 
Back
Top Bottom