Vitunguu toka China na matumizi ya USD

MIGNON

JF-Expert Member
Nov 23, 2009
4,083
5,062
Ninaomba wataalamu wa uchumi na mambo ya fedha wanisaidie katika hili.
Nilibahatika kwenda Thailand mwaka jana na nilikuwa na kama USD 600 ambazo jamaa alinituma nimnunulie laptop.Nilifika katika shopping mall majira ya saa moja usiku na jamaa walikataa kupokea USD na wakanitaka nibadili katika pesa ya kwao,nikashangaa!!Bahati mbaya bank zilikuwa zimefungwa na jamaa wakagoma kupokea USD ila wakaniahidi kuniwekea laptop niliyochagua mpaka kesho yake nitakapokuja na bhat (pesa za Thailand).
Juzi nilikuwa mlimani city na nikauliza bei ya simu na nikajibiwa katika USD,nilipohoji ikiwa sina USD itakuwaje nikajibiwa ya kuwa watabadilisha Tshs kwa rate yao na si ya bank au beuraeu de change.
Je kweli tuna udhibiti na fedha ya kigeni nchi hii,nisaidieni.
Jambo la pili ni kuwa nilifika katika soko la Mawenzi Morogoro hivi karibuni na katika vitu nilivyotumwa na Bi Mkubwa ni vitunguu swaumu.
Nilipouliza kwa wauzaji nilijibiwa kwa kupewa swali hili “vya Tanzania au vya China?” nikashtuka nami nikawauliza kuwa hivyo vya China ni kuwa vimelimwa na Wachina hapa nchini au vimeingizwa kutoka China?haraka nikajibiwa kuwa vimeingizwa toka China na nusu kilo ni shs 3000!!
 
Unashangaa ya vitunguu, watu tunakunywa juisi kutoka Arabuni huku matunda yakiozea mashambani na masokoni. Ndo ujue ujinga wa mtanzania, halafu atalalamika hali ya uchumi ni ngumu huku akisahau kuwa udhibiti ktk biashara, soko na bidhaa za ndani ni siri kubwa ya maendeleo ya kiuchumi kwa nchi za mashariki ya mbali.
 
Ninaomba wataalamu wa uchumi na mambo ya fedha wanisaidie katika hili.
Nilibahatika kwenda Thailand mwaka jana na nilikuwa na kama USD 600 ambazo jamaa alinituma nimnunulie laptop.Nilifika katika shopping mall majira ya saa moja usiku na jamaa walikataa kupokea USD na wakanitaka nibadili katika pesa ya kwao,nikashangaa!!Bahati mbaya bank zilikuwa zimefungwa na jamaa wakagoma kupokea USD ila wakaniahidi kuniwekea laptop niliyochagua mpaka kesho yake nitakapokuja na bhat (pesa za Thailand).
Juzi nilikuwa mlimani city na nikauliza bei ya simu na nikajibiwa katika USD,nilipohoji ikiwa sina USD itakuwaje nikajibiwa ya kuwa watabadilisha Tshs kwa rate yao na si ya bank au beuraeu de change.
Je kweli tuna udhibiti na fedha ya kigeni nchi hii,nisaidieni.
Jambo la pili ni kuwa nilifika katika soko la Mawenzi Morogoro hivi karibuni na katika vitu nilivyotumwa na Bi Mkubwa ni vitunguu swaumu.
Nilipouliza kwa wauzaji nilijibiwa kwa kupewa swali hili “vya Tanzania au vya China?” nikashtuka nami nikawauliza kuwa hivyo vya China ni kuwa vimelimwa na Wachina hapa nchini au vimeingizwa kutoka China?haraka nikajibiwa kuwa vimeingizwa toka China na nusu kilo ni shs 3000!!
vitunguu vya TZ bei gani?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ninaomba wataalamu wa uchumi na mambo ya fedha wanisaidie katika hili.
Nilibahatika kwenda Thailand mwaka jana na nilikuwa na kama USD 600 ambazo jamaa alinituma nimnunulie laptop.Nilifika katika shopping mall majira ya saa moja usiku na jamaa walikataa kupokea USD na wakanitaka nibadili katika pesa ya kwao,nikashangaa!!Bahati mbaya bank zilikuwa zimefungwa na jamaa wakagoma kupokea USD ila wakaniahidi kuniwekea laptop niliyochagua mpaka kesho yake nitakapokuja na bhat (pesa za Thailand).
Juzi nilikuwa mlimani city na nikauliza bei ya simu na nikajibiwa katika USD,nilipohoji ikiwa sina USD itakuwaje nikajibiwa ya kuwa watabadilisha Tshs kwa rate yao na si ya bank au beuraeu de change.
Je kweli tuna udhibiti na fedha ya kigeni nchi hii,nisaidieni.
Jambo la pili ni kuwa nilifika katika soko la Mawenzi Morogoro hivi karibuni na katika vitu nilivyotumwa na Bi Mkubwa ni vitunguu swaumu.
Nilipouliza kwa wauzaji nilijibiwa kwa kupewa swali hili “vya Tanzania au vya China?” nikashtuka nami nikawauliza kuwa hivyo vya China ni kuwa vimelimwa na Wachina hapa nchini au vimeingizwa kutoka China?haraka nikajibiwa kuwa vimeingizwa toka China na nusu kilo ni shs 3000!!
Watanzania aliyetuloga alikwisha kufa.
 
Mie chochote kile cha kutoka China ambacho kinaenda mdomoni mwangu sinunui, siku zote nitanunua cha Kitanzania maana nina uhakika kiko salama zaidi kuliko cha China na bei yake pia ni poa. Nani anawapa rukhsa hawa wachina waingize mazao yao ya kutoka nchini mwao? Hivi tunahitaji kweli vitunguu kutoka China wakati tuna wakulima wa vitunguu chungu nzima nchini? Kwanini hawa waruhusiwe kuharibu soko la wakulima wa Kitanzania!?

Le

Leo kariakoo nimekuta vitunguu Toka China aise
 
km ni kweli kuna vitunguu kutoka china basi hii nchi inaumwa kuliko tunavyofikiria
 
Kuna samaki pia kutoka china ambao ni wa maji baridi wa kufuga,pamoja n kamba wale wa baharini
 
Mie chochote kile cha kutoka China ambacho kinaenda mdomoni mwangu sinunui, siku zote nitanunua cha Kitanzania maana nina uhakika kiko salama zaidi kuliko cha China na bei yake pia ni poa. Nani anawapa rukhsa hawa wachina waingize mazao yao ya kutoka nchini mwao? Hivi tunahitaji kweli vitunguu kutoka China wakati tuna wakulima wa vitunguu chungu nzima nchini? Kwanini hawa waruhusiwe kuharibu soko la wakulima wa Kitanzania!?
napiga kazi na wachina kwenye kampuni yetu yaani wanaimport hadi nyanya kutoka kwao!!
 
Unashangaa ya vitunguu, watu tunakunywa juisi kutoka Arabuni huku matunda yakiozea mashambani na masokoni. Ndo ujue ujinga wa mtanzania, halafu atalalamika hali ya uchumi ni ngumu huku akisahau kuwa udhibiti ktk biashara, soko na bidhaa za ndani ni siri kubwa ya maendeleo ya kiuchumi kwa nchi za mashariki ya mbali.
Mkuu issue sio Ujinga wa Mtanzania, bali viwanda vya kuhifadhi hayo matunda ili yasioze viko vichache. Pili sie twaenda kwa misimu, wenzetu kwa kutumia teknoljia mazao yao yanapatikana muda wote maana kama ni tapes za irrigation wanatengeneza wao.

Wajua wenzetu wako wengi sana nchini mwao tuseme kiasi cha 1.3Bill out of 7.4Bill World Population hivyo changamoto ya kuajiriwa inawafanya wachakarike kuunda viwanda vingi ili ku-survive. Hii ni kwa nchini mwao na wanaoweza wanatoka nje ya nchi kutafuta fursa za uwekezaji kwa akina sisi ambao tumelala
 
Nionavyo Mimi suala la uchumi na Uzalendo ndio moja ya changamoto kubwa, nchini kwetu,sio kwenye Vitunguu tu na samaki,na tatizo linaanzia juu matibabu,thamani za majumbani na ofisini,mavazi hata safari za nje vs vijijini mwetu.
Ili uonekane mtamu na bora lazima uendane na Kasi ya bidhaa,mapambo,mwendo na hata nakshi ya bidhaa toka nje.
Ila kwa mwendo huu tutafanana tu na tutaheshimiana tu wallah wote tutaenda sawa,
 
Back
Top Bottom