tanganyikakwanza
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 493
- 186
Akichaogia wizara ya maendeleo ya jamii mbunge wa CCM kutoka Zanzibar mh. Faida Bakar alisema naipongeza serikali ya CCM na naunga mkono hoja 100% na nampongeza mkurugenzi wa NSSF bwn. Ramadhan Dau kwa uzalendo na uchapakazi na kama Tanzania wangekuwepo watu kama yeye 20 hakika ufisadi Tanzania ungeisha.
Maana yake kama Tanzania 20 hawafiki basi CCM hata wawili hakuna.
Maana yake kama Tanzania 20 hawafiki basi CCM hata wawili hakuna.