elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
Haya ni magari ambayo aliyekuwa raisi wa Gambia Yahya Jammeh aliyaficha kwenye msitu flani.
Viongozi wa Kiafrika wanapenda sana anasa.
Source: Zambezi Reporter
Kweli mkuu ukiuliza kwanini wako ahead utaambiwa wale bahati yao wana mafuta.Nimekuwa wa kwanza....Mkuu sasa hivi nlikua najadili kuhusu Waafrika na tabia zao, kila anaepata hafanyi jambo jema kwa manufaa ya kizazi kijacho, wabinafsi mnoo yaani aaahgg nachukia uafrika wee angalia hata waarabu tunaoambiwa tuko nao bara moja they are ahead of us sie kama tuna balaa ninaaa zangu
Aisee nipo Serikalini lkn natamani nisije kuzeekea huku maana ntakufa na presha kuna ukuda kila kona, huko nje kwenye sekta binafsi kunachefua Waafrika kama siyo laana bass mazwazwa wakufa mtuKweli mkuu ukiuliza kwanini wako ahead utaambiwa wale bahati yao wana mafuta.
Wana mafuta lakini wanaishi jangwani ila kuna nchi kule wanaenjoy maisha.
Sisi hata tuwe na mafuta hakuna afadhali.
Ona Tz tuna dhahabu, chuma, almas, Tanzanite, mbuga za wanyama, mito, maziwa, ardhi yenye rutuba, bahari, makaa ya mawe, samaki, ng'ombe wa kutosha, misitu yani tuna almost kila kitu lakini tunazidiwa na nchi kibao ambazo hazina resources zinategemea utalii..
Ukiuliza hakuna wa kukupa kibu linaloeleweka
Haya ni magari ambayo aliyekuwa raisi wa Gambia Yahya Jammeh aliyaficha kwenye msitu flani.
Viongozi wa Kiafrika wanapenda sana anasa.
Source: Zambezi Reporter
Sasa najiuliza aliyaficha huko akiwa na lengo wakose wote au alikuwa na plan ya kuja kuyafuata kimya kimya akidhan anaweza yaficha kwenye ramboalhaji huyo
Ukweli mchungu japo unauma waafrika tuna matatizo hakika bongo zetu azipo sawa km ngozi nyeupe ukweli ndio huo... Kipo ww angalia viongozi wetu pamoja hao wakombizi wetu...
Haya ni magari ambayo aliyekuwa raisi wa Gambia Yahya Jammeh aliyaficha kwenye msitu flani.
Viongozi wa Kiafrika wanapenda sana anasa.
Source: Zambezi Reporter