Gezuz
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 1,010
- 1,345
Huhuhuh hii kali duh!Mwenyekiti wetu hajui kusoma na kuandika ukaanzishwa utata akasema anajua kuandika na kusoma.
Wakakutanishwa siku hiyo ya kumtest kama kweli anajua kusoma na kuandika akaambiwa andika Chama Cha Mapinduzi.
Akaandika Chama Ha Mapundusi
Mwandiko kama bata.
Kampeni za 2015 akawa ananadi sera nanukuu
"Vijana nipeni kura mimi na nyinyi hatuna ugomvi ndiyo maana mnapovuta bangi napajua ila sijawahi kuwaleta polisi, kama kuna yeyote kawahi kusumbuliwa na askari kisa bangi aseme"