Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,140
- 14,678
Dada mmoja alichoshwa na vituko vya mumewe akamwambia "bora ningeolewa na shetani kuliko wewe"
Mumewe akajibu "dini haziruhusu mtu kuolewa na ndugu yake"...
Mumewe akajibu "dini haziruhusu mtu kuolewa na ndugu yake"...