Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,125
- 8,627
Leo kiongozi wa EFF Hon. Julius Malema amefanya kituko baada ya kuitwa mbele ya bunge kuapishwa kwa kuondoka na miondoko ya kucheza style ya "Vosho" inayochezwa na mwanamke mtukutuku Zondwa Wabantu na kuibua vicheko na shangwe kubwa bunge.
Malema ambaye chama chake kimepata wabunge karibia mara mbili tangu kianzishwe kawaacha Wasouth wakiwa mbavu hawana huku wengine wakisema akili hazimtoshi n.k.
Katika kampeni zilizopita Malema alishawahi kutoa ahadi kuwa endapo chama chake kitashinda basi atacheza style hiyo ndani ya bunge na leo katimiza alichokisema
Malema ambaye chama chake kimepata wabunge karibia mara mbili tangu kianzishwe kawaacha Wasouth wakiwa mbavu hawana huku wengine wakisema akili hazimtoshi n.k.
Katika kampeni zilizopita Malema alishawahi kutoa ahadi kuwa endapo chama chake kitashinda basi atacheza style hiyo ndani ya bunge na leo katimiza alichokisema