Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
Aman iwe juu yenu wakuu
Juzi nilisafiri kwa njia ya basi kutoka home Mwanza hadi Dar.
Nilipanda basi moja kwa jina la Tungis, basi hii ni nzuri na mpya kabisa na huduma zake ni bomba sana.
Tumetoka Mwanza tukapita Shinyanga tulipofika Tinde kumbe kuna watu walikuwa wamekata ticket kuanzia Tinde had Dar watu hao walikuwa ni Waha walitoka Kigoma kupitia Kahama.
Walikuwa ni mabinti kama watatu na mama mmoja wa makamo.
Kasheshe likaanza njiani wakaanza kutapika kila mmoja kisa eti hawajazoea kupanda basi.
Alianza dada mmoja na mwingine akafata hadi yule mama aisee, nilikoma kabisa kupanda basi moja na Waha
Wanatapika utazani wanakojoa dah.
Tulipanda na Wasukuma fulani ambao wao tulitoka nao Mwanza, kasheshe ilianzia njiani kila wanachokutana nacho njiani wananunua na kula.
Iwe chips twende, mahindi ya kuchoma twende, pipi twende, mikate twende yaani hawaachi kitu kwenye vinywaji napo pia wanachanganya iwe Coca-Cola twende fanta twende Pepsi twende yaani kila kitu wanabugia.
Kasheshe jingine wakianza kuongea mmoja yuko mbele mwingine nyuma wanaongea kisukuma halafu kwa sauti kuu ya juu kabisa ilibidi tu wengine tuwe kimiya na wavumilivu.
Dah ila Waha mliniacha hoi aisee
LONDON BOY
Juzi nilisafiri kwa njia ya basi kutoka home Mwanza hadi Dar.
Nilipanda basi moja kwa jina la Tungis, basi hii ni nzuri na mpya kabisa na huduma zake ni bomba sana.
Tumetoka Mwanza tukapita Shinyanga tulipofika Tinde kumbe kuna watu walikuwa wamekata ticket kuanzia Tinde had Dar watu hao walikuwa ni Waha walitoka Kigoma kupitia Kahama.
Walikuwa ni mabinti kama watatu na mama mmoja wa makamo.
Kasheshe likaanza njiani wakaanza kutapika kila mmoja kisa eti hawajazoea kupanda basi.
Alianza dada mmoja na mwingine akafata hadi yule mama aisee, nilikoma kabisa kupanda basi moja na Waha
Wanatapika utazani wanakojoa dah.
Tulipanda na Wasukuma fulani ambao wao tulitoka nao Mwanza, kasheshe ilianzia njiani kila wanachokutana nacho njiani wananunua na kula.
Iwe chips twende, mahindi ya kuchoma twende, pipi twende, mikate twende yaani hawaachi kitu kwenye vinywaji napo pia wanachanganya iwe Coca-Cola twende fanta twende Pepsi twende yaani kila kitu wanabugia.
Kasheshe jingine wakianza kuongea mmoja yuko mbele mwingine nyuma wanaongea kisukuma halafu kwa sauti kuu ya juu kabisa ilibidi tu wengine tuwe kimiya na wavumilivu.
Dah ila Waha mliniacha hoi aisee
LONDON BOY