Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,483
- 51,056
Huyu bwana Kagame hivi sasa ni mwenyekiti wa East African Community, Yeye ndiye mlezi mkuu wa hii jumuia
Hata hivyo cha ajabu badala ya kubehave kama Mlezi namba moja wa hii jumuia yeye ndiye kinara wa migogoro kwa wanachama wake.
Burundi imekuwa ikilalamika mara kibao kuwa Kagame analeta chokochoko ndani ya Jumuia, Burundi imelalamika sana kwa wajumbe na kuwaomba waingilie kati ili Kagame aache chokochoko zake. Hata hivyo inaonekana viongozi wengine wa East Africa walikuwa bado katika usingizi mzito wa hii hali!.
Hatujakaa sawa, Bwana Kagame keshaanza ugomvi na mzee Mseveni!. Yaani mwenyekiti wa East African Community badala ya kuwa wa mwisho kuingia katika chokochoko yeye amekuwa msitari wa mbele kurushiana maneno na kuzinguana na mjumbe wake!. What is going on here?. Kagame ni mwenyekiti huyu, Mwenyekiti wa jumuia yetu adhimu.
Kwa jinsi anavyobehave huyu Kagame, anabehave as if ni Agent wa Imperialists wasiotaka kuona kuna Tangible African Federation yenye sauti imara duniani!.
Ndugu zangu Wakubwa hawa wa Dunia kamwe hawataruhusu Umoja wa nchi za Kiafrika weney nguvu, au litokee Taifa kubwa moja lililoungana ndani ya Afrika lenye sauti na nguvu moja kamwe hawatokubali!
Kwa jinsi East African Community inavyokwenda, tayari ilishawashtua wakubwa wa dunia kuwa hiki kitu wasipokiua au kukimanage mapema ile relaity ya Africa moja iliyoungana au kutokea kwa Taifa moja lenye nguvu ndani ya Africa inaweza kutokea!, Just imagine Somalia wameomba kujiunga, DRC wanaomba kujiunga na nchi kibao Wanafikiria kujiunga, Picha gani unayoiona hapa?. TAIFA MOJA KUBWA NDANI YA AFRIKA LILIKUWA LINAANZA KUJIJENGA!!.
Sasa kaja huyu jamaa ambaye dunia nzima inajua anaungwa mkono na Marekani, badala ya kutuunganisha wana East Africa yeye anatugawa!. Huyu Jamaa je yupo kwenye payroll ya CIA ili atumike kukwamisha ndoto za kuwa na Taifa moja kubwa ndani ya Africa?
Kipindi kile tulipokuwa Watatu tu, Uganda, Kenya na Tanzania tulikuwa tukienda vizuri sana, na pia kipindi Rwanda inaomba kujiunga kuna watu walipinga sana, Walipinga si kwa sababu ya kuwakataa Wanyarwanda, bali ni kwa sababu ya aina za watu kama Kagame na Militaristic mentality zao!.
Mimi simwamini Kagame, huyu huenda ni Mole wa CIA na nchi za mabeberu kuuvunja umoja wa East Africa!. Otherwise kwa nini kila ugomvi ndani ya East Africa awe na mkono wake?, Uganda yeye, Burundi yeye, Kongo yeye!, Come on What is wrong with you Kagame?
Hata hivyo cha ajabu badala ya kubehave kama Mlezi namba moja wa hii jumuia yeye ndiye kinara wa migogoro kwa wanachama wake.
Burundi imekuwa ikilalamika mara kibao kuwa Kagame analeta chokochoko ndani ya Jumuia, Burundi imelalamika sana kwa wajumbe na kuwaomba waingilie kati ili Kagame aache chokochoko zake. Hata hivyo inaonekana viongozi wengine wa East Africa walikuwa bado katika usingizi mzito wa hii hali!.
Hatujakaa sawa, Bwana Kagame keshaanza ugomvi na mzee Mseveni!. Yaani mwenyekiti wa East African Community badala ya kuwa wa mwisho kuingia katika chokochoko yeye amekuwa msitari wa mbele kurushiana maneno na kuzinguana na mjumbe wake!. What is going on here?. Kagame ni mwenyekiti huyu, Mwenyekiti wa jumuia yetu adhimu.
Kwa jinsi anavyobehave huyu Kagame, anabehave as if ni Agent wa Imperialists wasiotaka kuona kuna Tangible African Federation yenye sauti imara duniani!.
Ndugu zangu Wakubwa hawa wa Dunia kamwe hawataruhusu Umoja wa nchi za Kiafrika weney nguvu, au litokee Taifa kubwa moja lililoungana ndani ya Afrika lenye sauti na nguvu moja kamwe hawatokubali!
Kwa jinsi East African Community inavyokwenda, tayari ilishawashtua wakubwa wa dunia kuwa hiki kitu wasipokiua au kukimanage mapema ile relaity ya Africa moja iliyoungana au kutokea kwa Taifa moja lenye nguvu ndani ya Africa inaweza kutokea!, Just imagine Somalia wameomba kujiunga, DRC wanaomba kujiunga na nchi kibao Wanafikiria kujiunga, Picha gani unayoiona hapa?. TAIFA MOJA KUBWA NDANI YA AFRIKA LILIKUWA LINAANZA KUJIJENGA!!.
Sasa kaja huyu jamaa ambaye dunia nzima inajua anaungwa mkono na Marekani, badala ya kutuunganisha wana East Africa yeye anatugawa!. Huyu Jamaa je yupo kwenye payroll ya CIA ili atumike kukwamisha ndoto za kuwa na Taifa moja kubwa ndani ya Africa?
Kipindi kile tulipokuwa Watatu tu, Uganda, Kenya na Tanzania tulikuwa tukienda vizuri sana, na pia kipindi Rwanda inaomba kujiunga kuna watu walipinga sana, Walipinga si kwa sababu ya kuwakataa Wanyarwanda, bali ni kwa sababu ya aina za watu kama Kagame na Militaristic mentality zao!.
Mimi simwamini Kagame, huyu huenda ni Mole wa CIA na nchi za mabeberu kuuvunja umoja wa East Africa!. Otherwise kwa nini kila ugomvi ndani ya East Africa awe na mkono wake?, Uganda yeye, Burundi yeye, Kongo yeye!, Come on What is wrong with you Kagame?