Asilimia 74.29 ya ma beki tatu wanatoka singapoo
Singapore = Iringa ??????????????????????????????
Asilimia 74.29 ya ma beki tatu wanatoka singapoo
Watamu kwako si kwa wote kama umezoea kuwafataki watoto wa watu tutakushitaki muone kwanza hata haya huna
Jamani hii imenichekesha sana jana wakati nimerudi home toka kazini house girl wangu akaniambia eti kuna kijana wa nyumba ile ya jirani kanambia you are very handsome!!!! Nikamuuliza unaelewa maana yake akaniambia alivyoniambia hivyo mie nikakimbia nikarudi ndani.
Jamani hii imenichekesha sana jana wakati nimerudi home toka kazini house girl wangu akaniambia eti kuna kijana wa nyumba ile ya jirani kanambia you are very handsome!!!! Nikamuuliza unaelewa maana yake akaniambia alivyoniambia hivyo mie nikakimbia nikarudi ndani.
Rip Dena Amsi... Maandishi yako bado yanaishi
Gone from our sight, but never from our hearts...
Kwani alifariki Mara ngapi,September hii ya juzi au mwaka Jana?
Kwani alifariki Mara ngapi,September hii ya juzi au mwaka Jana?
TANZIA - Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia
R.I.P. Swali langu ni jf wanajuaje member kafariki na si verified user?? Kuna members huwa tunafahamiana hata kwa hizi fake ID. Binafsi nawafahamu watu kiasi wa humu na huwa tunakuwa wote. so ikitokea tatizo tunakuwa tunajua kabisa...www.jamiiforums.com
Siku zinakimbia sana mkuuMungu wangu 2016 December ni kama juzi tuu
Ulinichanganya,nikadhani ni usingizi,Dena Amsi alifariki siku nyingi ,Aliniuma sana huyo bintiThis September nadhani
Ulinichanganya,nikadhani ni usingizi,Dena Amsi alifariki siku nyingi ,Aliniuma sana huyo binti
Kama aliweza kusikia maneno hayo na kuyafikisha kwako basi yupo vema kichwani. Maana alikimbia akimshangaa huyo kijana kwa kumwambia yeye handsome..Jamani hii imenichekesha sana jana wakati nimerudi home toka kazini house girl wangu akaniambia eti kuna kijana wa nyumba ile ya jirani kanambia you are very handsome!!!!
Nikamuuliza unaelewa maana yake akaniambia alivyoniambia hivyo mie nikakimbia nikarudi ndani.