Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
Habari zenu wakuu wangu..!well.nimeona ni vyema nikawajuza kinachoendelea hapa uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu j.k.nyerere.Kuna hii ndege ya shirika la kizawa la air tanzania iliyokuwa na safari ya kwenda kigoma tangu saa kumi na mbili.nimeshangazwa kuwakuta jamaa zangu wapo wapo tu hadi muda huu.Nimeingia ndani nimelegea.naiona ndege hapa inatengenezwa bado,na haijulikani itapona lini.hofu yangu ni usalama wa hawa abiria kama watapaa na hitilafu ikatokea huko maana hakuna muda wa kucheck.INASIKITISHA SANA TENA SANA kuona nchi iliyopigana vita miaka yote rwanda wanaleta ndege ya adabu tanzania.hapa naiona RwandaAir ina kula nyomi na kuchapa mwendo.nawatakia ijumaa njema!nawaacha jamaa zangu wa kigoma mimi na chapa raba.AMANI KWA REV KISHOKA "tumeuza uhuru wetu,na mali yetu tumeifuja".