Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,052
- 24,442
Uzi huu utakuwa maalumu kwa ajili ya kuweka matukio ya mechi za watani wa jadi, Simba na Yanga!
Imekuwa ni desturi timu hizi zinavyokutana basi, kunakuwa na vituko na matukio ya aina tofauti yakiwemo yakushangaza, kuburudisha, kukera na kuudhi lakini yote ni kwa ajili ya kunogesha derby hii kali ya mjini.
Kwenye uzi huu, tupia picha, videos au chochote kinachohusiana na matukio ya mechi hizi...
Karibuni wadau!
Imekuwa ni desturi timu hizi zinavyokutana basi, kunakuwa na vituko na matukio ya aina tofauti yakiwemo yakushangaza, kuburudisha, kukera na kuudhi lakini yote ni kwa ajili ya kunogesha derby hii kali ya mjini.
Kwenye uzi huu, tupia picha, videos au chochote kinachohusiana na matukio ya mechi hizi...
Karibuni wadau!