Vituko Simiyu vyaendelea idara ya afya: AMO ateuliwa DMO Halmashauri ya mji, huku MD akitoswa!

Msendekwa

JF-Expert Member
Mar 11, 2012
442
168
Yametokea tena Bariadi halmashauri ya mji. Kuna AMO ambaye majuzi kateuliwa kuwa incharge wa kituo cha afya kilichopo ndani ya Halmashauri ya mji wa Bariadi, uteuzi ambao ni sahihi, hauna shida na umekidhi vigezo. Wakati huo kuna MD ambaye alikuwa amependekezwa kuwa TMO (Town Medical Officer of Health) cheo kilicho sawa na DMO kwenye halmashauri ya wilaya.

Ghafla madiwani wamemteua huyo AMO incharge wa kituo cha afya kuwa TMO na kumweka kando MD mwenye sifa.

Tamthilia inaendelea!
 
hivi tumefikiahali ambapo kila mtu anafanya anavyotaka bila kufuaya miongozo ya utumishi! basi tunaelekea kuwa kama rwanda ya habyarimana ambapo uteuzi uliangalia zaidi kabila eneo unalotoka kasikaxini au kusini na zaidi uhusino na viongozi wa kitaifa. mambo ya taaluma ilukuwa haina maana zaidi ya kujuana, japo hilo halikusaidia maana tunaskia rais huyo alipouawa mkewe na ndugu wa mama huyo wa taifa walisherekea kwa kunywa mvinyo
 
namshauri huyo MD asijali,kwani alienda chuo ili awe DMO? mimi ni MD na head of depatment wangu ni AMO,wananchi wanahitaji tiba na sio siasa,MD unatakiwa upige siza,laparatomy,orif,etc.Acheni kutafuta vyeo.Daktari wa ukweli anafurahia kutibu na sio uDMO.mie ndo natoka theatre sasa hivi nilikuwa na raptured spleen, hemoperitoneum tumekuta 2800mls,mgonjwa katoka fresh, bp105/65,rr26,pr117.
 
hatuwezi kusema wamekosea,labda huyo md uwezo wake wakiuongozi ni zero kama mimi,sasa unataka aongoze tu na yeye ni kilaza kama mimi kiuongozi?
 
namshauri huyo MD asijali,kwani alienda chuo ili awe DMO? mimi ni MD na head of depatment wangu ni AMO,wananchi wanahitaji tiba na sio siasa,MD unatakiwa upige siza,laparatomy,orif,etc.Acheni kutafuta vyeo.Daktari wa ukweli anafurahia kutibu na sio uDMO.mie ndo natoka theatre sasa hivi nilikuwa na raptured spleen, hemoperitoneum tumekuta 2800mls,mgonjwa katoka fresh, bp105/65,rr26,pr117.
Waeleze bana,maana kila siku imekuwa u-DMO,RMO.Walisoma Medicine kuja kutafuta madaraka?????!!!!!!!
 
Kitu cha kwanza lazima kiwe uaminifu , ufisadi mkubwa wizara ya afya siku zote umesimamiwa na MD's na Prof's , this term tuone hawa AMO's watatusaidiaje , Hii nchi kila siku inamalizwa na hawa wanaojiita wasomi , hawana lolote ! Mbona sisi wengine hatujawahi kuhangaika na hayo mavyeo yenu na tuko vizuri tu ?
 
Muhim wabadili tu hizo criteria za uteuzi, hamtaona mtu anahoji neno.
Maadam kigezo cha hizo nafasi kwanza ni kuwa MD, kuwaruka au kuwapuuza ni ukiukaji wa sheria, kanuni na taratibu. Teteeni yote, wapuuzeni MD, lakini kabla ya kufanya hayo na kuyahalalisha, badilisheni hiyo miongozo kwanza, kwamba Daktari msaidizi amuongoze daktari, kitaaluma.
 
hatuwezi kusema wamekosea,labda huyo md uwezo wake wakiuongozi ni zero kama mimi,sasa unataka aongoze tu na yeye ni kilaza kama mimi kiuongozi?

Mkuu,not that you are wrong nor right but mkuu what do you think can be criteria/crediantial/requirements MD missed and AMO had(no offense(?..what does the policy say abt the matter?..usemayo ni kweli, may be ni MD and Head wa dept ni AMO but it doesnt mean "it is right"..
 
Yametokea tena Bariadi halmashauri ya mji. Kuna AMO ambaye majuzi kateuliwa kuwa incharge wa kituo cha afya kilichopo ndani ya Halmashauri ya mji wa Bariadi, uteuzi ambao ni sahihi, hauna shida na umekidhi vigezo. Wakati huo kuna MD ambaye alikuwa amependekezwa kuwa TMO (Town Medical Officer of Health) cheo kilicho sawa na DMO kwenye halmashauri ya wilaya.
Ghafla madiwani wamemteua huyo AMO incharge wa kituo cha afya kuwa TMO na kumweka kando MD mwenye sifa.

Tamthilia inaendelea!

Kuna sehemu serikali ilikosea sana, kwenye swala la madiwani kuwa na maamuzi mkubwa zaidi ya level yao ya kufikiri!
wengi wa hao madiwani wengi nchini ni darasa 4 akizidi sana form 4.

Halmashauri nyingi zitaporomoka kimaendeleo kwa sababu ya akili ndogo kutaka kuiongoza akili kubwa!
serikali iwapunguzie madaraka hawa madiwani ifike sehemu waamue vitu walivyo na uwezo navyo tu!
nina uzoefu kwenye hilo, huwa wanabishana na miongozo!
 
namshauri huyo MD asijali,kwani alienda chuo ili awe DMO? mimi ni MD na head of depatment wangu ni AMO,wananchi wanahitaji tiba na sio siasa,MD unatakiwa upige siza,laparatomy,orif,etc.Acheni kutafuta vyeo.Daktari wa ukweli anafurahia kutibu na sio uDMO.mie ndo natoka theatre sasa hivi nilikuwa na raptured spleen, hemoperitoneum tumekuta 2800mls,mgonjwa katoka fresh, bp105/65,rr26,pr117.

mkongwe sikuhizi mnafanya mpaka vitu hivyo huko Namtumbo, Basi kumbe ngoja turudi bongo...
 
Mimi mwenyewe nilipo sasa kwanza dental officer ndo incharge na head of department wangu ni AMO, offcourse ki shule nipo juu zaidi na kwenye meeting nawanyonya kiukweli lakini sijali haya mimi first maslahi yangu yote muhimu yaani salary na anything i deserve. Seminars kwangu siyo priority na tangu nianze kazi sijawahi kwenda seminar nina 2yrs in job. Lakini wanashangaa usafiri ninao maisha yanakwenda wagonjwa wananikimbilia. Kumbuka jiwe walilokataa waashi ndilo jiwe kuu la pembeni.
Mabewa uko sahihi sana elimisha hawa vijana wapenda vyeo na seminars kuliko kazi.
 
namshauri huyo MD asijali,kwani alienda chuo ili awe DMO? mimi ni MD na head of depatment wangu ni AMO,wananchi wanahitaji tiba na sio siasa,MD unatakiwa upige siza,laparatomy,orif,etc.Acheni kutafuta vyeo.Daktari wa ukweli anafurahia kutibu na sio uDMO.mie ndo natoka theatre sasa hivi nilikuwa na raptured spleen, hemoperitoneum tumekuta 2800mls,mgonjwa katoka fresh, bp105/65,rr26,pr117.

asante kaka kwa kuwapasha, unajua hawa vijana wa MUHAS wana expectation kubwa sana bila kufanya kazi, watu wanataka kazi na sio siasa. kazi kwanza wanaotoa vyeo hovyohovyo wataona aibu
 
Mimi mwenyewe nilipo sasa kwanza dental officer ndo incharge na head of department wangu ni AMO, offcourse ki shule nipo juu zaidi na kwenye meeting nawanyonya kiukweli lakini sijali haya mimi first maslahi yangu yote muhimu yaani salary na anything i deserve. Seminars kwangu siyo priority na tangu nianze kazi sijawahi kwenda seminar nina 2yrs in job. Lakini wanashangaa usafiri ninao maisha yanakwenda wagonjwa wananikimbilia. Kumbuka jiwe walilokataa waashi ndilo jiwe kuu la pembeni.
Mabewa uko sahihi sana elimisha hawa vijana wapenda vyeo na seminars kuliko kazi.

You just missed the point.
Suala sio kutaka cheo au kukikataa, hoja hapa ni kufuatwa taratibu, na mtu kutendewa haki.
Unaweza kuwa unafanya hizo procedure na kuishi kwa CCD, na umeridhika, ni juu yako. Semina zimewekwa kwa lengo la ku update knowledge na management protocol, km huendi kwa 2yrs(sijui huteuliwi au unazikataa), una matatizo.
Turejee kwenye hoja, hapa suala ni kukosewa kwa miongozo, kwa makusudi, baada ya watu kufanya lobbying.
Yule mwenzao wa Singida aliyeutaka u RAMO Simiyu(Regional Assistant Medical Officer), keshapigwa chini juu kwa juu.
Watanyooka tu, labda wabadili miongozo.
 
namshauri huyo MD asijali,kwani alienda chuo ili awe DMO? mimi ni MD na head of depatment wangu ni AMO,wananchi wanahitaji tiba na sio siasa,MD unatakiwa upige siza,laparatomy,orif,etc.Acheni kutafuta vyeo.Daktari wa ukweli anafurahia kutibu na sio uDMO.mie ndo natoka theatre sasa hivi nilikuwa na raptured spleen, hemoperitoneum tumekuta 2800mls,mgonjwa katoka fresh,

WE MI HUWEZI KUNTIBU HATA BURE..KWA UPEO WAKO ULIBAHATISHA KUSOMA MEDICINE KAMA KWELI WE DR..UNA MAWAZO YA KITUMWA SANA..AMO NDO NANI? NI MUDA SASA TUNATAKIWA KUWAPHASE OUT HAWA WATU AMBAO SI MADR NA KUWAPA MADR HAKI ZAO! WE INAELEKEA ULIWASALITI WENZIO WAKATI WANAGOMA..NA UTAENDELEA KUWA MTUMWA WA VIPROCEDURE MPAKA UCHANGANYIKIWE..WE NANI KAKUFUNDISHA KUWA UKISOMA MD LAZIMA UTIBU TUU NA KUKAA KAA HOSPITALI KAMA *****..NADHANI MADR WENZAKO WATAKUWA WANAKUCHUKIA SANA KWASABABU WE UNARUDISHA NYUMA MAENDELEO YA AFYA? DMO KUWA MD NI SAHIHI.KABISA! ANAUWEZO MPANA WA KUFIKIRI NA UBUNIFU NA NDIO TUNACHOTAKA ILI KUFANYA MAGEUZI YA SEKTA YA AFYA NCHINI..WE UNADHANI BILA SIASA WE UDAKTARI WAKO UNAMAANA? SERA UTATUNGA WEWE?? TAFITI UTAFANYA WEWE? EMBU NENDA KATIBU MASKINI MKUBWA WE..MWISHO WAKO UTAISHIA KUNUNUA KARAV4 BASI..UNAWAANGUSHA WENZIO
 
namshauri huyo MD asijali,kwani alienda chuo ili awe DMO? mimi ni MD na head of depatment wangu ni AMO,wananchi wanahitaji tiba na sio siasa,MD unatakiwa upige siza,laparatomy,orif,etc.Acheni kutafuta vyeo.Daktari wa ukweli anafurahia kutibu na sio uDMO.mie ndo natoka theatre sasa hivi nilikuwa na raptured spleen, hemoperitoneum tumekuta 2800mls,mgonjwa katoka fresh,

WE MI HUWEZI KUNTIBU HATA BURE..KWA UPEO WAKO ULIBAHATISHA KUSOMA MEDICINE KAMA KWELI WE DR..UNA MAWAZO YA KITUMWA SANA..AMO NDO NANI? NI MUDA SASA TUNATAKIWA KUWAPHASE OUT HAWA WATU AMBAO SI MADR NA KUWAPA MADR HAKI ZAO! WE INAELEKEA ULIWASALITI WENZIO WAKATI WANAGOMA..NA UTAENDELEA KUWA MTUMWA WA VIPROCEDURE MPAKA UCHANGANYIKIWE..WE NANI KAKUFUNDISHA KUWA UKISOMA MD LAZIMA UTIBU TUU NA KUKAA KAA HOSPITALI KAMA *****..NADHANI MADR WENZAKO WATAKUWA WANAKUCHUKIA SANA KWASABABU WE UNARUDISHA NYUMA MAENDELEO YA AFYA? DMO KUWA MD NI SAHIHI.KABISA! ANAUWEZO MPANA WA KUFIKIRI NA UBUNIFU NA NDIO TUNACHOTAKA ILI KUFANYA MAGEUZI YA SEKTA YA AFYA NCHINI..WE UNADHANI BILA SIASA WE UDAKTARI WAKO UNAMAANA? SERA UTATUNGA WEWE?? TAFITI UTAFANYA WEWE? EMBU NENDA KATIBU MASKINI
MKUBWA WE..MWISHO WAKO UTAISHIA KUNUNUA KARAV4 BASI..UNAWAANGUSHA WENZIO

"divide and conquer" sasa hivi ma AMO na ma MO mnaingia vitani watu wanatumia nafasi hiyo kuwacontrol kirahisi zaidi. Vita njema!!!
 
namshauri huyo MD asijali,kwani alienda chuo ili awe DMO? mimi ni MD na head of depatment wangu ni AMO,wananchi wanahitaji tiba na sio siasa,MD unatakiwa upige siza,laparatomy,orif,etc.Acheni kutafuta vyeo.Daktari wa ukweli anafurahia kutibu na sio uDMO.mie ndo natoka theatre sasa hivi nilikuwa na raptured spleen, hemoperitoneum tumekuta 2800mls,mgonjwa katoka fresh,

WE MI HUWEZI KUNTIBU HATA BURE..KWA UPEO WAKO ULIBAHATISHA KUSOMA MEDICINE KAMA KWELI WE DR..UNA MAWAZO YA KITUMWA SANA..AMO NDO NANI? NI MUDA SASA TUNATAKIWA KUWAPHASE OUT HAWA WATU AMBAO SI MADR NA KUWAPA MADR HAKI ZAO! WE INAELEKEA ULIWASALITI WENZIO WAKATI WANAGOMA..NA UTAENDELEA KUWA MTUMWA WA VIPROCEDURE MPAKA UCHANGANYIKIWE..WE NANI KAKUFUNDISHA KUWA UKISOMA MD LAZIMA UTIBU TUU NA KUKAA KAA HOSPITALI KAMA *****..NADHANI MADR WENZAKO WATAKUWA WANAKUCHUKIA SANA KWASABABU WE UNARUDISHA NYUMA MAENDELEO YA AFYA? DMO KUWA MD NI SAHIHI.KABISA! ANAUWEZO MPANA WA KUFIKIRI NA UBUNIFU NA NDIO TUNACHOTAKA ILI KUFANYA MAGEUZI YA SEKTA YA AFYA NCHINI..WE UNADHANI BILA SIASA WE UDAKTARI WAKO UNAMAANA? SERA UTATUNGA WEWE?? TAFITI UTAFANYA WEWE? EMBU NENDA KATIBU MASKINI MKUBWA WE..MWISHO WAKO UTAISHIA KUNUNUA KARAV4 BASI..UNAWAANGUSHA WENZIO

Bora umpashe. Anajua udaktari ni kupasua tu, kumbe hata Internal Medicine na Paediatrics ni kazi za MD. Na alivyo na mawazo ya ki AMO, anajisifia kupasua tu, wkt siku hz hizo kazi zinafanywa na Robots.
Anasahau kuwa udaktari, dhima yake ni kufanya utambuzi wa magonjwa, diagnosis, na ndo maana huchukuliwa vijana wenye akili nzuri kuusomea.
Amesahau kuwa daktari kafundishwa CDC, community Medicine, ili kushiriki kwenye prevention of diseases, health sector management, na kajifunza kazi za DMO na kuziendea field kwa mwezi mzima wkt akiwa chuo.
Anasahau kuwa Daktari ni mtawala, na ni ofisa wa serikali, na kajifunza uongozi na utawala wa sekta ya Afya kwenye DS 100 na DS 200.
Hatambui kuwa Daktari huyu pia kajifunza Sociology, psychology kwenye behavioural Sciencies, kwa lengo la kuwatambua wagonjwa na watu wengne anaoishi nao na kuwaongoza.
Huyu jamaa(sijui AMO) hajui kuwa Daktari kasoma Epidemiology na Research Methodology, ili kujua disease pattens na jinsi ya kuintervene, kuzuia, na kutunga sera ili kufanya maboresho ya sekta ya Afya.
Hayo mambo yote ukiondoa kufundishwa kutibu juu juu na kukata, sidhani kama AMO ht kwenye sylabus yao yamo.
Wapinge kwa hoja, wawaponde MD kwa haki, na sio chuki tu na inferiority Complex.
 
Hii pride ndio inayowaangamiza mwisho wasiku..maishia kuvurudmnda tu..utendaji zero..wizara kila siku iko pale pale..mpaka leo maradhi ameendelea kutamba.

Umd sio u mungu jitafakarini acheni hii pride na greedy.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua hizi nafasi zilitakiwa ziwe wazi kwa mtu yeyote mwenye sifa na si daktari peke yake.

Nakumbuka wakati wa Mkapa kulikuwa na health sector reform ambapo kwa mara ya kwanza nafasi ya director Muhimbili ilitangazwa kimataifa na walio apply walifanyiwa vetting ya kutosha na hatimae akapatika mzungu mmoja anayeitwa Tregoning kama sikosei.

Huyu mwamba kitaaluma sio daktari bali alikuwa muuguzi lakini ni mtu aliyeleta mabadiliko makubwa Muhimbili kwa muda mfupi sana.
Na kama si figisu za madaktari wazawa,jamaa angefanya makubwa sana huenda kuliko ilivyo sasa.Alifanyiwa fitna akaondolewa wakati wa JK.

Kifupi hizi nafasi za uongozi hazihitaji hizo CV mnazotaka kulazimisha.
Kumbuka Rais wako wa sasa elimu yake lakini she is one of the best leaders ever.
Juzi amenigusa sana alipogusia usanii wa opras.
Muhim wabadili tu hizo criteria za uteuzi, hamtaona mtu anahoji neno.
Maadam kigezo cha hizo nafasi kwanza ni kuwa MD, kuwaruka au kuwapuuza ni ukiukaji wa sheria, kanuni na taratibu. Teteeni yote, wapuuzeni MD, lakini kabla ya kufanya hayo na kuyahalalisha, badilisheni hiyo miongozo kwanza, kwamba Daktari msaidizi amuongoze daktari, kitaaluma.
 
Yametokea tena Bariadi halmashauri ya mji. Kuna AMO ambaye majuzi kateuliwa kuwa incharge wa kituo cha afya kilichopo ndani ya Halmashauri ya mji wa Bariadi, uteuzi ambao ni sahihi, hauna shida na umekidhi vigezo. Wakati huo kuna MD ambaye alikuwa amependekezwa kuwa TMO (Town Medical Officer of Health) cheo kilicho sawa na DMO kwenye halmashauri ya wilaya.

Ghafla madiwani wamemteua huyo AMO incharge wa kituo cha afya kuwa TMO na kumweka kando MD mwenye sifa.

Tamthilia inaendelea!
MD wafanye procedure. Uongozi waachieni wengine.
 
Back
Top Bottom