Wasukuma wako juu
Hujadanganya bageshi...lakini siyo kwa ushamba
2946572_crying-man-sad%20(1).gif
 
Ni kweli, na ndio maana kila mtu anataka kuwa mtani wenu. Ila yule ndugu yenu sijui alikuwa msukuma wa wapi

Nataka zawadi yangu!
Ndugu yetu yupi?

Au yule aliyekuwa anaendesha mambo kama mzee wa familia - kwamba asemalo ndilo na hakuna wa kumshauri? Kama ni huyo tumwache apumzike salama na tumsamehe kwa mabaya yote na tumshukuru kwa mema. Maandiko yanatutaka tufanye hivyo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom