Boogman
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 2,403
- 5,497
Tena washenzi haswa
Tena washenzi haswa
Sasa sisi tuna shida gani mkuu?Mnataka na sie tuwafanyie nini kwani?
Ukute hivyo vilio vya uwongo ndo mnalipa wema wetu
Asante sana bageshi. Zawadi yako inakuja...Hapana, nimemuwakilisha shimba
Kamanda dah!Asante dada wa kisukuma.
Usiniambie unamwakilisha SYB
Ijia zawadi yako. Wasukuma tuna roho njema sana
Ndio, msukuma wa kujitolea.
Bageshi mbona naona banned tena? Umefanya nini?Asante sana bageshi. Zawadi yako inakuja...
Ni kweli, na ndio maana kila mtu anataka kuwa mtani wenu. Ila yule ndugu yenu sijui alikuwa msukuma wa wapiIjia zawadi yako. Wasukuma tuna roho njema sana
Nipo braza. Nilipitiwa na ban ya wiki moja...ila nipoHahahaha Shimbaaa you are missed!
Hujadanganya bageshi...lakini siyo kwa ushamba
View attachment 1973061
Uliwafanya nini mods?Nipo braza. Nilipitiwa na ban ya wiki moja...ila nipo
Ndugu yetu yupi?Ni kweli, na ndio maana kila mtu anataka kuwa mtani wenu. Ila yule ndugu yenu sijui alikuwa msukuma wa wapi
Nataka zawadi yangu!
Tulipishana kauli mahali fulani nikawakoromea nao wakanishushia nyundo yao ya ban...hawafaiUliwafanya nini mods?
Sawa tumemsamehe.Ndugu yetu yupi?
Au yule aliyekuwa anaendesha mambo kama mzee wa familia - kwamba asemalo ndilo na hakuna wa kumshauri? Kama ni huyo tumwache apumzike salama na tumsamehe kwa mabaya yote na tumshukuru kwa mema. Maandiko yanatutaka tufanye hivyo!
Kama vile mnalaumu upande mmojaSasa sisi tuna shida gani mkuu?
Tulipishana kauli mahali fulani nikawakoromea nao wakanishushia nyundo yao ya ban...hawafai
Hatujalaumu, tumesifiaKama vile mnalaumu upande mmoja
Asante sana bageshi....
Unaleta ugomvi wa mawe wakati unaishi kwa nyumba ya vioo?
Karibu tena, you were missed!
Kamanda inakuwaje, mbona unapotezwa sana, unawakoseaga nini?Kamanda dah!