Temeke to Mbezi.
Yaani umepitiliza,umekuwa ufala falasiUfala umepitiliza.
Nikitaka kusema habari za Asubuhi kwa Kinyaki nasemaje? Isije kuwa Shule yako Haijasajiriwa bure 😜😜🙊🏃🏻🏃🏻Nakutumia joining instruction mwanafunzi
Hovyoooooo
Kuna shida kufika 40??Acha waendelee kumtafuta Mr. Right. Watakuja kukumbuka shuka kushakucha wako 40
View attachment 1948963View attachment 1948964
Koh koh koh........Mjukuu hujajua matumizi yake nikupe Tuition ??🙈🏃🏻
Ee nipe Somo babuKoh koh koh........Mjukuu hujajua matumizi yake nikupe Tuition ??
Usinitanie Mjukuu, hilo nililoliona juzi mbona linatosha kwa mafunzo! Nadhani nikikuletea Shanga zinazovaliwa kule Mombasa zitakufaa zaidi.Ee nipe Somo babu
Shanga bila msambwanda ni sawa umevaa hirizi kiunoni....umenielewa
,songea ushatoka?Usinitanie Mjukuu, hilo nililoliona juzi mbona linatosha kwa mafunzo! Nadhani nikikuletea Shanga zinazovaliwa kule Mombasa zitakufaa zaidi.
Ngoja nikuandalie Teaching aid ufaidi Somo
Sijui kabisa,shanga bila msambwanda,ni sawa na hirizi kiunoniHujui matumizi ya shanga wewe
Eeh!Sijui kabisa,shanga bila msambwanda,ni sawa na hirizi kiunoni
Yaani umepitiliza,umekuwa ufala falasi
nitafuatiliaEeh!
Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi
Naweza kusema ni state of mind pale unapoona kiuno cha kike shanga zimeonekana kidoogo! Kile kimuhemuhe na ashiki unayopata na mawazo yako unakoyapeleka. Shanga ni kivutio cha asili kwenye mapenzi kitandani lakini si kila mmoja wetu ni mpenzi wa shanga ama anajua kuzitumia vema na akaburudika...www.jamiiforums.com