Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,538
- 13,001
Ndio mkuu... 😂Kitu cha gomba hicho
Ndio mkuu... 😂Kitu cha gomba hicho
Lazma adekezwe 😬😬😬 enzi hizo! 🤣Penzi jipya
View attachment 1819791
Hahaaha si Mnyakyusa kweliBasi huyo wanne mtasema MSUKUMA mlivyokuwa hamuwapendi ba-ngoshaView attachment 1819793
...Ni utumbo tu
Huyo baba akipigwa shot ya umeme hapo
Tafuta hela ule vitamu..Sometimes maisha hayako fair enough.
Mpaka unajiuliza unakisea wapii?!View attachment 1819567
Hakuna penzi hapo, usanii mtupuPenzi jipya
View attachment 1819791
Kama ni wanajeshi sawa. Nilifikiri raia tu wanapuyanga mitaani. Waisraeli hawa halafu ni lazima wapite jeshini. JKT yao imechangamka siyo kama ya kwetuWatoto wa Israel hawa, ni wanajeshi
Asante sana mkuu. Ni Mnyakyusa huyoHahaaha si Mnyakyusa kweli
Hii kama sio Israel, ila sidhani kama ni nchi tofauti na hiyo.Tungekuwa na ruhusa hii huku kwetu!
View attachment 1819467