Hii Kali sana
Hivi siwez kubadili kabila kama ilivyo dini maana Huu ukoo wa Laizer I wish na .mm nijiunge, maana sie akina ngosha hatuna bahati
HahahahahahaaaaaaUkishuka wee njoo tuu na hiyo barabara nitakuona.View attachment 1579722
Sent using Jamii Forums mobile app