Leo asubuhi gari la mgombea ubunge kupitia CUF limegongana na pikipiki na gari kuharibika vibaya,cha kushangaza pikipiki haijaharibika hata kidogo na mwendesha pikipiki pia yuko salama.
Napendekeza pikipiki zote zinazoingizwa nchini ziwe za aina hiyo kwakuwa ni imara na wapandaji watasalimika.
Napendekeza pikipiki zote zinazoingizwa nchini ziwe za aina hiyo kwakuwa ni imara na wapandaji watasalimika.