Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Kuna mambo yanashangaza sana na kukupelekea uwaze sana na hupati jibu
Ilikuwa hivi: Jamaa amempeleka mkewe hosp na ikabidi alazwe na vipimo vilionyesha kuwa ana upungufu wa damu. Hivyo ikabidi wacheki kama group ya mumewe inaendana na ya mkewe ili amchangie damu, kwa bahati siyo nzuri haikuendana, Katika hangaika akakutana na rafikie ambaye yeye alikuwa anajitambua ni group gani na itamfaa mkewe, cha msingi ni kupima ngoma kama hana aweze kutoa damu kwa ajili ya mke wa rafikie. Cha ajabu jamaa akakataa katakata kwamba hataki damu ya rafikie iingie kwa mkewe, hivyo aliendelea kutafuta mpaka akampata rafiki wa kike wa mkewe ndipo akatoa damu na kufanikisha kuwekewa mkewe
Sasa nimekuwa nikijiuliza huyu jamaa alihisi nini mpaka kukataa rafikie asimtolee damu mkewe mpaka akatafuta mwanamke rafiki wa mkewe
Nimekuwa nikijiuliza sipati jibu
Kama huyo jamaa yupo hapa JF anisamehe sana au kama ana jibu anipe
Bado nawaza.............
Ilikuwa hivi: Jamaa amempeleka mkewe hosp na ikabidi alazwe na vipimo vilionyesha kuwa ana upungufu wa damu. Hivyo ikabidi wacheki kama group ya mumewe inaendana na ya mkewe ili amchangie damu, kwa bahati siyo nzuri haikuendana, Katika hangaika akakutana na rafikie ambaye yeye alikuwa anajitambua ni group gani na itamfaa mkewe, cha msingi ni kupima ngoma kama hana aweze kutoa damu kwa ajili ya mke wa rafikie. Cha ajabu jamaa akakataa katakata kwamba hataki damu ya rafikie iingie kwa mkewe, hivyo aliendelea kutafuta mpaka akampata rafiki wa kike wa mkewe ndipo akatoa damu na kufanikisha kuwekewa mkewe
Sasa nimekuwa nikijiuliza huyu jamaa alihisi nini mpaka kukataa rafikie asimtolee damu mkewe mpaka akatafuta mwanamke rafiki wa mkewe
Nimekuwa nikijiuliza sipati jibu
Kama huyo jamaa yupo hapa JF anisamehe sana au kama ana jibu anipe
Bado nawaza.............